Wakuu,
Kama kuna mtu ana marine board zilizotumika mara 1 na bado zipo kwenye hali nzuri, anipm tuongee biashara.
Vile vile kama kuna mtu anamirunda pia ninazitafuta.
Escudo ipo ktk hali nzuri inauzwa kwa bei chee!! 7M
Make: Suzuki
Model:Escudo
Body type: Station Wagon
Year of Manufacture:1996
Engine capacity: 1.5l petrol
Transmission: Manual & 4WD
Imported...
shamba linauzwa:
eneo: kigamboni ( yale yale )
ukubwa: heka 3
shamba lipo mita kadhaa kutoka barabarani, umeme na maji yamefika katika eneo hilo.
bei: 11mil kwa heka 1
heka 3 =...
Ndugu wana JF. Nauza asali ya nyuki wakubwa haijachanganywa na kitu chochote ila bado soko ndo linasumbua. Lita moja nauza sh10000. Kwa jumla dumu la lita ishirini nauza sh 160000. Nipo sinza...
shamba linauzwa:
eneo: kigamboni ( yale yale )
ukubwa: heka 3
shamba lipo mita kadhaa kutoka barabarani, umeme na maji yamefika katika eneo hilo.
bei: 11mil kwa heka 1
heka 3 =...
Nina kambale wenye umri wa miez minne na Nusu, waliofikia uzito wa kilo moja kila mmoja. Bei ni shilingi 6000/=
Nipo Tabata Kimanga Mwisho,kwa mawasiliano zaidi piga namba za simu zifuatazo...
Hivi ni vinu vya kufua umeme, vinapatikana nchi zilizo endelea, nazani kwa wale wenye kuishi katika vyanzo vya maji yenye mtetemko, uwezo wa kupata umeme upo. Usisubiri Tanesco ikuletee umeme ...
Wadau habari zenu?
Kuna jengo linapangishwa ni floor nzima ya tatu,maeneo ya Philips Arusha.
Kama unahitaji,tafadhali PM kwa ajili ya kuona na kupata bei.
NB: Inapangishwa floor nzima na sio...
Nashindwa kuelewa kwa nini watu wanashindwa kutumia hii fursa ya kutangaza (Kuuza na Kununua) hapa JF. Ni watu wachache saana tunatumia hii fursa.
Kwa nini nasema hivi:
Nimegundua kuna watu wengi...
Kiwanja kipo kisongo pembeni ya soko ukubwa 20*22 ninamatatizo na kesho ndio hukumu ya kesi yangu napokea hata nusu nyingine ndani ya mwezi mmoja 0764 759 314 kwa anaye hitaji
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.