Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Wakuu, Kama kuna mtu ana marine board zilizotumika mara 1 na bado zipo kwenye hali nzuri, anipm tuongee biashara. Vile vile kama kuna mtu anamirunda pia ninazitafuta.
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Escudo ipo ktk hali nzuri inauzwa kwa bei chee!! 7M Make: Suzuki Model:Escudo Body type: Station Wagon Year of Manufacture:1996 Engine capacity: 1.5l petrol Transmission: Manual & 4WD Imported...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Nauza gar aina ya suzuki carry no ni BZW iko katika hali nzur tu inafanya kazi! Bei ni ml5 kwa mawasiliano zaidi nicheck kwenye 0715 546818
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Sony Xperia Z imetumika miezi.4 inauzwa bei ni laki.4 na 20 haina tatzo lolote ipo kwnye hali ya upya kabsa..mwnye kuhtaji anipm au aweke contact apa
0 Reactions
0 Replies
820 Views
shamba linauzwa: eneo: kigamboni ( yale yale ) ukubwa: heka 3 shamba lipo mita kadhaa kutoka barabarani, umeme na maji yamefika katika eneo hilo. bei: 11mil kwa heka 1 heka 3 =...
0 Reactions
0 Replies
984 Views
Ndugu wana JF. Nauza asali ya nyuki wakubwa haijachanganywa na kitu chochote ila bado soko ndo linasumbua. Lita moja nauza sh10000. Kwa jumla dumu la lita ishirini nauza sh 160000. Nipo sinza...
0 Reactions
1 Replies
699 Views
shamba linauzwa: eneo: kigamboni ( yale yale ) ukubwa: heka 3 shamba lipo mita kadhaa kutoka barabarani, umeme na maji yamefika katika eneo hilo. bei: 11mil kwa heka 1 heka 3 =...
0 Reactions
0 Replies
688 Views
Nina kambale wenye umri wa miez minne na Nusu, waliofikia uzito wa kilo moja kila mmoja. Bei ni shilingi 6000/= Nipo Tabata Kimanga Mwisho,kwa mawasiliano zaidi piga namba za simu zifuatazo...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
WHAT IS FOREVER F.I.T. Forever F.I.T. is an advanced nutritional, cleansing and weight-management program designed to help you look and feel better.
0 Reactions
0 Replies
729 Views
Hivi ni vinu vya kufua umeme, vinapatikana nchi zilizo endelea, nazani kwa wale wenye kuishi katika vyanzo vya maji yenye mtetemko, uwezo wa kupata umeme upo. Usisubiri Tanesco ikuletee umeme ...
1 Reactions
3 Replies
5K Views
Wadau habari zenu? Kuna jengo linapangishwa ni floor nzima ya tatu,maeneo ya Philips Arusha. Kama unahitaji,tafadhali PM kwa ajili ya kuona na kupata bei. NB: Inapangishwa floor nzima na sio...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
2004 Scania, 114 8x4, steel body tipper, manual, diesel, 32 ton, call 0715385418/ 0754385418
0 Reactions
2 Replies
2K Views
voda 170k airtel 130k utapata kwa majina yako ukichukua zote mbili 280k 0712191251
0 Reactions
23 Replies
2K Views
Nashindwa kuelewa kwa nini watu wanashindwa kutumia hii fursa ya kutangaza (Kuuza na Kununua) hapa JF. Ni watu wachache saana tunatumia hii fursa. Kwa nini nasema hivi: Nimegundua kuna watu wengi...
3 Reactions
7 Replies
1K Views
Inahitaji 550,000 068 540 4579 eddy 3 gb... nd hdd 32 gb... imeweka na 8 gb memory kwemye slot
0 Reactions
1 Replies
857 Views
Nauza laptop aina ya Sony Vaio,corei3,ina hard disk 500gb,ram4gb,processor 2.8ghz Only tsh 550000 Call 0675531833
0 Reactions
1 Replies
669 Views
Ninahitaji mashine ya kukaanga Mahindi iwe mpya au used, itakuwa bora kama utataja bei na iko wapi.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Husika na kichwa cha habari hapo juu, kama unalo au wewe muuzaji njoo PM fasta
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kiwanja kipo kisongo pembeni ya soko ukubwa 20*22 ninamatatizo na kesho ndio hukumu ya kesi yangu napokea hata nusu nyingine ndani ya mwezi mmoja 0764 759 314 kwa anaye hitaji
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Back
Top Bottom