Tunauza facebook page zenye likes tofauti.
Mfano likes elfu 5000 kwa elfu 50000.
Kila like ni sh 10.
pia tunauza instagram pages same price.
Kwa wale wenye blogs na wafanya biashara...
Kutokana na kichwa habari hapo juu mm binafsi natafuta kazi hasa dar es salaam sababu ndio mji niliouzoea kazi yoyote ile mradi iwe hahali nipo tayari kujitolea mradi pawe na mahala pa kulala...
Habari wanajamvi zikiwa zimebaki siku mbili naomba mwenye kunisaidia nikapige kura ili kutimiza haki yangu Kikatiba ya kumchagua kiongozi ninaemtaka. Nauli ni sh 15,000/= tu chuo kipo Morogoro...
Mimi ni mwalimu mzoefu ambaye nimefundisha na bado ninafundisha katika shule kubwa kama Marian Boys secondary School,Feza boys secondary na Baobab secondary school,kwa sasa pia ninafundisha...
Naombeni kuuliza kwa niaba ya rafiki yangu nini nafasi ya ajira za migodini nchini Africa kusini ,Zambia ,Congo hasa za mitambo ya uchimbaji anaejua jamani...
Nahitaji TV na freezer inayotumia DC kwa ajili ya solar.
TV isiwe inakula watt zaidi ya 20, na freezer isizidi watt 15.
PM au niandikie Sirngonyani@gmail.com
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.