Wadau nauza simu aina ya Tecno C5. Iko vizuri ni mpya haina miezi 2 toka dukani. Ram1gb,Rom 8gb,os 5.0 lollipop. Screen 5.5inch,.kwa anayehitaji anicheki watsap kwa namba 0768729731
Bei ni poa...
Nauza ardhi yenye ukubwa wa hekari 13 tu kwa Tshs 140/= milioni, eneo lipo Lugwadu lipatikanalo barabara ya Kongowe-Kigamboni main road lipo ktk ramani ya mipango miji, ni dakika 30 mpk 45...
Samsung Led tv 32" 570,000/=, 40" 940,000/=, 50" 1,780,000/=
LG led tv 32" 635,000/=, 43" 1,040,000/=
Projector Sony (used 47 hrs) 520,000/=
Nicheki kwa 0762589998/0772985957
karibuni
Nyumba ya vyumba 3 inapangishwa nyuma ya Philips super market,Arusha,mita 100 toka Moshi/Arusha road.
Vyumba 3,kimoja ni master bedroom
Ina sebule kubwa
Ina dinning area
Ina jiko na stoo
Ina...
Habari zenu wakuu?
Nyumba ya vyumba vitatu inapangishwa Philips nyuma ya Philips super market,mita 100 toka Moshi/Arusha road
Ina vyumba vitatu vya kulala,kimoja ni master bed room(choo,bafu...
Wadau nimepata shida fulani ya ghafla nahitaji lakimoja(100,000) nitarudisha baada ya week mbili hata kwa riba.
Kuna mali naweza kuweka kama dhamana.
ASANTENI.
Ninauza Hiace 2 ZR, petrol, 2WD. Imesajiliwa na imetembea siku 14 hapa nchini. Ina bima hadi Jan 16. Milioni 25, mwenye nia anii pm. Ilitengenezwa kwa ajili ya daladala hivyo ina kila kitu cha...
Toyota Rifine Chaser (Saloon car) for SALE in Arusha.
Make year:2000
Engine capacity:1988 CC (4 cylinders)
Color:White
Transmission:Automatic
Odometer:179,000KM
5 doors (5 seats)
Registration...
Habari zenu wanaJF.
Samahani kama kuna mtu anajua lolote kuhusu namna ya kuweza kuiunganisha monitor yako ya computer na king'amuzi na kuweza kutumika kama television atusaidie namana ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.