Ninauza Shamba- Ifakara, 5 heka

Ninauza Shamba- Ifakara, 5 heka

Mjasiriamali1

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2009
Posts
891
Reaction score
240
Shamba linauzwa lipo Morogorro wilaya ya Kilombero- Ifakara kijiji cha Mngeta! zipo heka 5! ni lizuri kwaajili ya kilimo cha mpunga! cocoa! etc!

Kuna access ya maji (mto) pembeni kwa iyo unaweza vuta maji kwa ajili ya kilimo cha umwagiliaji! na linalimika siyo la kufungua@ heka 750,000/= , hati ya shamba ipo, na nyaraka zote za utambulisho kutoka serikali za mtaa zipo!

Kama uko serious unahitaji ni p.m kwa mazungumzo ya biashara!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom