Wadau natafuta transporter anayeweza kufanya kazi ya kuhamisha staff toka Zanzibar kuja Moro, na kutoka Iringa kuja Moro.
Sharti transporter awe na ofisi Morogoro.
Mwenye lolote ani-PM tafadhali...
Wakuu heshima kwenu,
Naweza kupata viti vya saloon ya kiume vya kuchonga au used? Naweza kupata kwa shilingi ngapi? Mwenye navyo aweke offer yake, mi naishi Dar.
Asanteni..
Wakuu habari. Natafuta transport company ya kufanya transit shipping ya jet fuel to Rwanda. Ni semi trailer truck needed. Anyone please call 0654000253 or pm
wanajamvi ninaomba kwa mtu yeyeto anaweza kunifanikishia hicho chumba. ...kiwe mahali pazuri penye usalama na bei ikiwa chini ya 50,000/- itakuwa poa sana lkn hata ikizid sio mbaya cha muhimu ni...
Habari wakuu. Kwa anayeuza simu tajwa hapo juu nahitaji kuinunua by j5. Simu iwe nzuri isiwe na tatizo lolote wala uchakavu. Nitumie ujumbe pm kama unayo simu.
kila mtanzania anaweza kujenga nyumba ya kuishi mwenyewe iwapo kama una nia yakufanya hivyo. Nunua kitu kimoja kimoja pindi unapopata hela kidogo. kuna watu wanapanga nyumba kwa mamilion ya...
Nina friji ya mtumba, nikiiunganisha kwenye umeme inafanya kazi vizuri ila umeme ukiyumba kidogo tu au ukikatika na kurudi hapo hapo inazimika na haiwaki tena mpaka baada ya muda mrefu.
Hii ni...
iko vzur sana kimuonekano na hata kiufanisi wa kazi pia haina tatzo lolote zaidi ya kiji crack kwa mbali sana! so kama uko interested call 0713943432 kwa maelezo zaidi na picha
npo dar
bei tsh...
ni design mpya ya simu iko kama saa ila ina
support SIM card,memory card pia ina camera na
istoshe iko na browser kwaajili ya internet. inakuja na charge,bluetooth chat na earphone zake! bt ni...
6 ins. IPS 1080p screen
16GB with MicroSD
2 GB RAM
Android 4.4.2
13Mp Main camera
5Mp Front camera
Monolith Silver
Price: 650,000
In EXCELLENT condition. Used 3 months.
2 x Back covers free...
Hello JF,
We are Authorized Partner of Worlds #1 Accounting Software Package for Sales,Supports,Implementation,Training And Consultation.
Accounting
Inventory
Manufacturing/Production process...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.