Shamba linauzwa!

Shamba linauzwa!

hayolae

Senior Member
Joined
Sep 28, 2015
Posts
180
Reaction score
866
Shamba zaidi ya hekali sita linauzwa kwa beii nafuu kabisa.
Eneo hili ni zuri kwa kilimo au shughuri nyingine ya kiuchumi .

Shamba hili lipo mkoa wa mbeya wilaya ya momba

Mtoa tangazo hili nimuhusika kamili na siyo dalali

Kwa atakae hitaji au kuuliza chochote tuwasiliane kupitia

0753715207

‎0659 262 582‎

Hayolae@gmail.com

Ahsanteni sana!!!!!!!!!!!!
 
je kiwanja kina hati miliki ya ardhim, hakina usumbufu wowote na serikali kuhusu miundombinu yoyote

mkuu tutumie picha ya hilo shamba hapa tuone ndipo tuanze mchakato huo km itawezekana
 
Kila kitu kipo hatuuziani mbuzi kwenye gunia taaratibu zote za kisheria zitafuatwa !!!!!!
 
Back
Top Bottom