Sony PD 150 professional video camera 3 -CCD camcorder inafanya kazi vizuri pamoja na vitu vifuatavyo 12x optical variable specifications . 4:3 au 16:9 widescreen adapter supplied ,12 or 16 bit...
kama kichwa cha habar kinavosema tunakodisha mziiki maharusini ...sendoff...happybirthday na kwenye vikao mbalimbali kwa bei pouwa saana tupo mwanza kisesa kwa mawasiliano wasiliana nasi kuptia...
Husika heading hapo...
Nipo Dar na ninaitaka hiyo simu. Xperia Z jamani....na wala sio Z1 wala Z2...bali ni Xperia Z kama ambavyo nimeiweka hapo. Mwenye nayo tuongee bei fasta.
NAKATA VIWANJA VYA UKUBWA TOFAUTI TOFAUTI KUTEGEMEANA NA HELA YAKO, VIPO VYA KUANZIA LAKI SITA NA KUENDELEA, VIPO BARABARA MPYA HAPA KASHISHI. HAKUNA DALALI NA DALALI HARUHUSIWI. SIMU 0755570231...
Nokia lumia 710 windows phone....kama upo mwanza na unahitaji nichek...bei laki mbili.ipo katika hali nzuri sana sababu haikuwa inatumika kwa muda mrefu......betri yake ilipotea nimeshindwa kupata...
Wakuu kuna rangi nahangaika sana kuitafuta.
Inaitwa Sherwin William Copper Mountain #SW-6356.
Hii rangi ni ya nje kama sikosei, ila nasikia kuna jamaa wana mixer zinazonaccept foreign codes...
iwe either mbezi beach, makonde, africana, mikocheni, iwe ya vyumba vitatu na iwe ndani ya fensi,, hata zikiwa nyumba mbili ndani ya fensi moja no problem. maximum kodi laki tano ...
TABLET MPYA KABISA AINA YA ARCHOS KUTOKA FRANCE
SPECIFICATIONS:
8"
2X Camera
Wi-Fi
HD 1080p
RAM 1 GB
8GB microSD slot
Bluetooth
GPS
Ina Magnetic cover board
Multi touch capacitive screen
Na pia...
Habari zenu kuna mtu anahitaji nyumba ya kupanga vyumba vitatu na sebule kuwe na maji bei yake isizidi 30000 per room maeneo ya kiloleli au igoma. .mwenye taarifa ani PM
Ndugu zangu amani kwenu,
Mwenye ufaham na upatikanaji wa viwanja bagamoyo anijuze tafadhali kuhusu bei, ubora wa eneo na details nyingine ili nifanye MAAMUZI MAGUMU
Nasubiri maoni wenu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.