Msaada bei ya jiko ndogo za gesi

Msaada bei ya jiko ndogo za gesi

Nas Mapesa

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2014
Posts
5,286
Reaction score
5,423
Wana JF mwenye kufahamu bei ya zile jiko ndogo za gesi za plate moja ambayo iko full na mtungi wake wa KG 6 bei ya rejareja najua ziko aina tofauti ni vyema pia kujua aina nzuri kwa matumizi na pia ntashukuru nikipata hata bei ya jumla.
 
Aaah mmezidi hata vitu vidogo mnauliza,sasa kwa nini usiende dukani kuuliza. Mwishowe mtauliza kuwa ukipigwa dole uchukue hatua gani
 
82.500 pale big bon msimbazi..nunua olxy hutasumbuka kupata wakala itakapoisha gesi
 
Aaah mmezidi hata vitu vidogo mnauliza,sasa kwa nini usiende dukani kuuliza. Mwishowe mtauliza kuwa ukipigwa dole uchukue hatua gani

ujasiliamali ndio unafanya watu wanauliza hata vitu vidogo,na haikua lazima uje uharishe humu kwani ungepita kimyakimya nani angekustua?next time usikurupuke kama umekakia mguu wa tatu wa nyoso.
 
mleta uzi hakika utakuwa mwalimu wa shule ya msingi umepangiwa kijijini kufundisha shule za kata so unataka kwenda na kuonjesha umwinji wako......nunua jiko la mafuta ya taa..halina garama
 
mtungi 60000+bunner 15000+kile ki plate sijui kinaitwaje 15000, jumla ni 90000 hao ni ORYX
 
Back
Top Bottom