Fremu ya biashara inapangishwa ipo barabara ya changombe jirani na njia panda ya kwenda tcc club. Jirani na maduka mawili.
Inatazama barabara kubwa ya changombe, temeke.
Ina floor tiles nzuri...
Wakuu nauza simu tajwa hapo juu. Huawei imetumika miezi minne iko kwenye hali nzuri, na bei yake ni 120000.Tecno imetumika miezi 7 na bado iko vizuri. Bei ni 100000.
Kwa mawasiliano 0686979746.
Pole na Majukumu
najua kuna walio na facebook groups na page kwa ajili ya burudani au hawayatumii kibiasahara.
sisi tunanunua hayo magroup kama ifuatvyo.
Idadi ya Member Group Page
Laki 5-1m...
Nahitaji gari aina ya Noah kesho saa 2 asubuhi kwa 50,000 na ntalitumia mpaka kesho jioni around saa 12.
Ntashukuru ukitoa gari na dereva.Ntatoa hela ya mafuta kwa mizunguko yote
Ng'arisha meno kwanjia salama bila madhara... Inapatikana sasa kwabei poa elfu 20.. free delivery kwa dsm. . Wateja wa jumla karibuni inbox #0715908050..
Wakuu naamini mko poa,
Napenda kuwafahamisha kuwa: Tunauza vitunguu,Red bombay, saizi zote, ni vizuri sana, unaweza kupata kiasi chochote unachotaka, tupo dar, kwa anayenunua kwa kiwango kikubwa...
Napokea order, baada ya wiki mbili mzigo utakuwa tayari umeshafika Dar.
1-75,000
2-70,000 (Kikoti ,vipo rangi nyeusi na nyeupe)
3-50,000
Kwa mawasiliano zaidi,
0752661896.
Karibuni sana.
Nimeibiwa simu aina ya huawei kama wiki sasa....kwa mwenye ujuz wa jinsi yq kuitafuta naomba msaada ili niipate kwani kuna jamaa alisema anaweza ila ameshindwa kwa hyo naomba msaada wenu
Wandugu bidhaa tajwa hapo juu inauzwa tsh elfu 80 tu.
Inapatikana Mwanza maeneo ya Nyegezi likiwa na gas ndani yake.
Pia kuna kitanda na godoro 4x6 tsh 150,000 tu, tv inch 18 tsh elfu 70 tu...
Jamani naomben msaada kuhusu ununuzi wa GODORO BORA, nimetoa kitanda changu kwa fundi juzi tu, sasa nataka kununua Godoro je ninunue GODORO gani zuri (na sababu zake) ambalo litadum maana nahofia...
KIMI DEV. CONSULT LTD, (Kwasasa tupo Mbeya mjini)
A sourcing agent for YOU!! We source goods from a wide variety of reliable suppliers, wholesalers and producers and manage the whole supply...
Habari za majukumu wadau.
Natumai mu-wazima kabisa, kama mada husika inavyosema hapo juu naomba mwenye kuwa na gari ambayo ipo kwenye hali nzuri walau niweze kununua.
Si mbaya kama itakuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.