Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Wakuu hamjambo, poleni na shughuli za kujenga taifa. Kama kichwa cha habari kinavyosema, nahitaji mashamba kwa ajili ya kilimo cha Matikiti maji, Shamba ambalo pia litaendana na zao lenyewe...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Mimi Ni DALALI wa (a)kuuza miti iliyo tayari kupasua mbao (b)miti ya kuanzia mwaka 1,2,3,4,5,6,7 ya kuitunza mpaka ikiwa tayar kupasuliwa (c)aridhi tupu ya kupanda miti (e)mbao za jumla za...
0 Reactions
18 Replies
5K Views
Wakuu, binafsi ni muathirika mkubwa wa chunusi. Ni wazi kuwa dawa nyingi zinazopatikana madukani either hazisaidii ama huondoa tatizo hili kwa muda tu kisha linarudi palepale.Kwa waathirika wa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
ZEC 50inches LED TV inauzwa. imetumika kidogo na inauzwa 1million. serious buyers tuwasiliane 0754 810 853
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Viatu vya kiume rejareja 28000-30000. Viatu vya kike nauza jumla tu kuanzi pair 10, bei 8500-9000. Wale wa Dar ukichukua kuanzia pair 10 unaletewa bure ulipo kwa viatu vya kike, viatu vya kiume...
0 Reactions
5 Replies
8K Views
Nyumba iwe maeneo ya mianzini au sanawari iwe double(chumba na sebule) ikiwa self itakuwa vizur Zaid isiwe mbali na barabara kuu, kodi itatolewa kulingana na ubora wa nyumba mawasiliano 0768600941
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Nina mkaa magunia 130 yenye ujazo wa mbavu mbili(shanga mbili) ambayo ninayauza kwa bei ya jumla, kila gunia ni 45,000. mkaa umetoka kusini. kwa anaehitaji anaweza kunicheki kwa namba hii 0714...
0 Reactions
0 Replies
895 Views
Heshima kwenu brothers and sisters Nyumba ya familia inapangishwa yombo vituka nyuma ya airport.. Maarufu kama Jet lumo ( kwa jimy " woodland pub") 3km from jk nyerere airport and 11 km from...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
natafuta chumba /nyumba ya kupanga mwanza cont 0713774746
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nipo Dar ninahitaji machine ya kushonea nguo aina ya cherehani kama unayo ni PM.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nauza hp pavilion dv7 core i7 laptop haina tatizo lolote wala mikwaruzo Ram 4GB Processor 1.3ghz Quard-core i7 Graphic memory 3.5GB Inasupport harddisk mbili iliyo nayo lwasasa ni 500GB...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
DARASA LA JIONI KWA QT NA WANAORUDIA MITIHANI KWA MASOMO YA, HISTORY, KISWAHILI, ENGLISH, CIVICS, GEOGRAPHY na BIOLOGY Tupo: Kinondoni mkabala na mahakama. KWA MAELEZO ZAIDI: PIGA AU TUMA UJUMBE...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Ni samsung Galaxy Tab S, Android 5.0 lollipop..Bei maelewano na poa sana ina week moja, ni check 0715011406.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wanajamiiforum ninawasalimu, Nauza simu yangu viwa max5 imetumika miezi miwili, ninaiuza kwasababu kwa sasa ninauhitaji wa pesa mkubwa ukilinganisha na uhitaji wa simu. Niko Mbeya 0768581799
0 Reactions
0 Replies
1K Views
simu aina ya galaxy note 3 original inauzwa shilingi laki 6. simu haijatumika sana na sababu ya kuuzwa ni kwamba nimepata galaxy note 4 hivyo nauza hii 3. specs zake zione hapa Samsung...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nyumba inauzwa maeneo ya ituha (Mbeya Mjini). Si umbali mrefu kutoka inapoishia rami.(Unaingulia Sae). Ina vyumba vitatu vya kulala (kimoja kati ya hivyo ni self), Ina sitting room, dinning room...
1 Reactions
2 Replies
5K Views
Nina hicho kiasi nahitaji gari iliyo katika hali nzuri.
0 Reactions
32 Replies
5K Views
Wadau nauza external hdd mpya kabisa sh elfu 90 ..nipo kinondoni
0 Reactions
2 Replies
778 Views
Anayeuza toyota ist, ani pm tuzungumze.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kwa wale wabunge wapya nawajulusha kuwa nina nyumba nzuri eneo la kisasa. Master mbili na chumba kimoja pia kina choo chake. Mnaweza hata kushea nyumba ni nzuri na mpya usalama upo. kwa...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Back
Top Bottom