Nahitaji mashamba kwa ajili ya kilimo cha Matikiti maji

Nahitaji mashamba kwa ajili ya kilimo cha Matikiti maji

eyetyna

Senior Member
Joined
Jun 24, 2011
Posts
148
Reaction score
17
Wakuu hamjambo, poleni na shughuli za kujenga taifa.

Kama kichwa cha habari kinavyosema, nahitaji mashamba kwa ajili ya kilimo cha Matikiti maji, Shamba ambalo pia litaendana na zao lenyewe, mazingira na hali ya hewa.

Nataka nianze kilimo hichi as soon as possible.

Kwa yoyote aliye na mashamba haya please let me know.

Asanteni sana.
 
Kiwangwa Bagamoyo ninalo heka 40. Interested nipm.
 
fisi

Shilingi ngapi mkuu? na je vyanzo vya maji vipo?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom