baba-mwajuma
JF-Expert Member
- Feb 1, 2014
- 5,870
- 12,427
simu aina ya galaxy note 3 original inauzwa shilingi laki 6. simu haijatumika sana na sababu ya kuuzwa ni kwamba nimepata galaxy note 4 hivyo nauza hii 3.
specs zake zione hapa
Samsung Galaxy Note 3 - Full phone specifications
kwa uharaka unapata kioo full hd cha inch 5.7, processor nzuri ya snapdragon 800 na ram ya 3gb.
kama unahofia za kichina sema test yako unayoipenda halafu nitatest nikuonyeshe
kwa mawasiliano tuma pm au sms/piga namba hii +255629100266
specs zake zione hapa
Samsung Galaxy Note 3 - Full phone specifications
kwa uharaka unapata kioo full hd cha inch 5.7, processor nzuri ya snapdragon 800 na ram ya 3gb.
kama unahofia za kichina sema test yako unayoipenda halafu nitatest nikuonyeshe
kwa mawasiliano tuma pm au sms/piga namba hii +255629100266