Habari njema kwa Wabunge wateule

Habari njema kwa Wabunge wateule

katatuu

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2011
Posts
501
Reaction score
132
Kwa wale wabunge wapya nawajulusha kuwa nina nyumba nzuri eneo la kisasa.

Master mbili na chumba kimoja pia kina choo chake.

Mnaweza hata kushea nyumba ni nzuri na mpya usalama upo.

kwa anayetaka tuwasiliane weka no nitakupigia.
 
Kwa wale wabunge wapya nawajulusha kuwa nina nyumba nzuri eneo la kisasa. master mbili na chumba kimola pia kinachoo chake. mnaweza hata kushea nyumba ni nzuri na mpya usalama upo. kwa anaetaka tuwasiliane weka no nitakupigia

Uanuza au unapangisha? Gharama/bei?
 
Napangisha bei maelewano baada ya kuiona
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom