Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Dell gx 270, 2.8ghz, ram 256mb, hard disk 120 gb, keyboard and mouse, and monitor flat 15 inches. Inafanya kazi vizuri, bei 130,000/= Kwa mawasiliano 0766714643 DSM
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Tujulishane kama una magari mabovu, chuma, copper, brass, alluminium, cast, betri mbovu ya gari nk... Tuko Mabibo mwisho(beach) Dar es salaam. Pesa yako unalipwa hapohapo, bei zetu ni nzuri...
0 Reactions
7 Replies
10K Views
WaanaJF salaam, Napenda kupata taarifa za upatikanaji wa plot/ kiwanja eneleo la Mbweni DSM, kiwe kimepimwa au laaa yote kwangu iko sawa tu. Bajeti nilikua nimepanga ni 6m na 30*30 ndio...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Ewe mfanyabiashara mdogo na wakati ambae mahesabu yako unaweka kwenye daftari, huu ni mwaka wa mabadiliko, hamia kwenye system itakayo kutunzia mahesabu yako vizuri. Natoa training ya jinsi ya...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Gari safi sana SUBARU LEGENCE HINADAIWA MWAKA MMOJA Bei: 5,800,000 (INAPUNGUA KIDOGO SANA) Mwaka: 2001 Aina ya Mafuta...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Goodmorning brohers & sisters, Naomba uniuzie Laptop, bajeti yangu ni laki 3. Sifa zake: - Isiwe na tatizo lolote la kiufundi - Iwe ni 64 bits - Iwe na Windows 8 - Iwe ni i3 na kuendelea Please...
0 Reactions
0 Replies
668 Views
offer, offer tangaza na swahiliform blog #kwa being poa sh 20000 kwa mwezi mmoja # ni blog ya maswala ya elimu. # blog hii inaangaliwa na watu elfu mbili kwa Siku. # tangaza nasi uweze...
0 Reactions
1 Replies
828 Views
Vinauzwa
0 Reactions
0 Replies
828 Views
Ewe mfanyabiashara mdogo na wakati ambae mahesabu yako unaweka kwenye daftari, huu ni mwaka wa mabadiliko, hamia kwenye system itakayo kutunzia mahesabu yako vizuri. Natoa training ya jinsi ya...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Shamba linauzwa lipo Morogorro wilaya ya Kilombero- Ifakara kijiji cha Mngeta! zipo heka 5! ni lizuri kwaajili ya kilimo cha mpunga! cocoa! etc! Kuna access ya maji (mto) pembeni kwa iyo unaweza...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nyumba ipo Lego /Shekilango nyuma ya Ubungo Plaza, nyumba ni kubwa ina vyumba vinne(4) kimoja master, jiko na sebule, ipo ndani ya uzio geti lako peke yako, haiingiliani na mtu.. maji 24hrs mpaka...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Naomba kuuliza nikiwa na,mil 2 au 3 naweza kununua gar ndogo ya kutembelea?
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Pata bata mzinga wenye kukua haraka na wenye kuvumilia magonjwa pia wanauwezo wa kua mpk na kg 15 bata bukini wanapatikana karibu 0757662401
3 Reactions
134 Replies
67K Views
Natafuta nyumba nzima ya kupanga maeneo ya Ilala, Magomeni, Sinza, Kinondoni, Makumbusho, Mwenge. Iwe na hadhi na ambapo panafikika kwa gari kirahisi wakati wa masika. Mwenye habari ani PM.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wadau naomba mniwezeshe mwenzenu kwenye huu ulimwengu wa ujasiliamali. Ninauza Mbao za mninga na Mkongo mzigo umekuja juzi tu; wahi upate super!!! Bei zinatofautiana kutokana na size. Mbao zote...
0 Reactions
3 Replies
7K Views
Wakuu kama hapo inavyojieleza. Mliopo mipakani huko changamkieni fursa. Kuna Sister wake Jamaa yangu yupo Dubai anatafuta Kiwanja ufukweni(Beach front Plot)Lake Nyasa. 4 - 5 Hectares Weka...
0 Reactions
1 Replies
767 Views
Nna Sony experts Z1 na z2 Nna Samsung note 3 na 4 Nna Samsung s5 Sim zote ni brand new ziko full 0715591141 tuchonge zaidi
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Meza iwe used ya bei rahisi
0 Reactions
0 Replies
831 Views
Tunatangaza nafasi za kazi kwa waliosoma diploma of computer science or IT SIFA -Awe amemaliza chuo cha DIT & IFM -awe na uwezo wa kufundisha masomo yafuatayo 1 .computer application 2 .pc...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari wakubwa! Nilikuwa naomba kufahamishwa kwa hapa Dar-es-salaam niwapi naweza kupata screen printing materials hizi! a.photo emulsion+ sensitizer b.screen printing mesh Nitashukuru...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom