Habari Tanzania hususani wakazi wa morogoro mjini na maeneo jirani.CHAPAKAZI METAL FABRICATION MOROGORO ambao ni mabingwa wakongwe katika fani ya uundaji vifaa kwa malighafi za chuma,sasa wapo...
Habari wakuu.nauza mikanda ya kupunguza tumbo.nauza elfu 40 nakuletea mpaka ulipo bure kwa wateja walioko dar.na kwa wateja walio mkoani nawatumia kwa njia ya basi.napatikana kwa namba 0712620078
Wana jf, kichwa cha habari hapo juu cha husika nyumba ipo mwananyamala kwa kopa ipo barabarani kabisa bei yake inauzwa million themanini ( 80000000 ) kwa mteja aliye tayari karibu tufanye biashara...
Habari wa ndugu!
Baada ya kumaliza kazi yake lengwa sasa nauza hivi vifaa, ni mradi ambao mnunuaji ataanza kufanya kazi mbali mbali on spot! Ni vyombo vipya vimetumika mwezi mmoja tu wakati wa...
Nyumba inakodishwa, ni two in one apartment zenye vyumba vitatu vya kulala, choo cha ndani, kimoja na cha nje kimoja kwa kila apartment, luku ya umeme kila apartment, jiko, sitting room, feni kila...
laptop hp compaq makbook inauzwa kwa bei rahisi kabisa.
ina mwaka mmoja na nusu, screen nyeusi
ni window 8.
haina tatizo lolote kwa maelezo zaidi tuwasiliane
Kiwanja kinauzwa Mwongozo Kigamboni. Kiwanja hiki kina hati na kimepimwa na kiko tambarare tayari kabisa kwa ujenzi.
Kina eneo la square metre 700. Kipo mahali penye usalama wa kutosha na...
Nipo dar es salaam. Kichwa cha scania tu bila trailer nakitafuta kwa matumizi yangu. Horsepower 113 au zaidi. Namba yoyote A,B,C nitajie bei from their we negotiate.
Kiwe kwenye hali nzuri. Call...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.