Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari Tanzania hususani wakazi wa morogoro mjini na maeneo jirani.CHAPAKAZI METAL FABRICATION MOROGORO ambao ni mabingwa wakongwe katika fani ya uundaji vifaa kwa malighafi za chuma,sasa wapo...
0 Reactions
0 Replies
31K Views
Ukubwa kuanzia Mita 25*20 bei 7.5million viko sehemu nzuri sana umeme upo, maji yapo, barabara nzuri. Kwa taarifa zaidi piga 0713154547
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari wakuu.nauza mikanda ya kupunguza tumbo.nauza elfu 40 nakuletea mpaka ulipo bure kwa wateja walioko dar.na kwa wateja walio mkoani nawatumia kwa njia ya basi.napatikana kwa namba 0712620078
0 Reactions
1 Replies
877 Views
Wana jf, kichwa cha habari hapo juu cha husika nyumba ipo mwananyamala kwa kopa ipo barabarani kabisa bei yake inauzwa million themanini ( 80000000 ) kwa mteja aliye tayari karibu tufanye biashara...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Husika na kichwa cha habari hapo juu, bei ni maelewano maana hakuna udalali. 0672110065
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Mwenye hiyo kitu ani-pm.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu natafuta pikipiki ya kununua ili nifanyie biasha isiwe imechoka sana na iwe boxer au nyingine tuwasiliane 0755103405
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari wa ndugu! Baada ya kumaliza kazi yake lengwa sasa nauza hivi vifaa, ni mradi ambao mnunuaji ataanza kufanya kazi mbali mbali on spot! Ni vyombo vipya vimetumika mwezi mmoja tu wakati wa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Nyumba inakodishwa, ni two in one apartment zenye vyumba vitatu vya kulala, choo cha ndani, kimoja na cha nje kimoja kwa kila apartment, luku ya umeme kila apartment, jiko, sitting room, feni kila...
0 Reactions
1 Replies
924 Views
Habari, Nimesikia Tigo wametoa ofa ya bure dakika 10, sms na Mb . Ila nimesahau namna ya kujiunga maana nlisikia tangazo redioni.
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Habari wadau, Nauza laptop yangu aina ya Hp pavillon M6 corei7, ina 4gb ram, hard disk 750gb Tsh 750,000 Call 0675531833
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wadau Habari Nauza gari langu pichani. Ni Canter Tonne 3 Bei ni nafuu sana Mhitaji serious tuwasiliane kwa Namba 0654 998326 Karibuni
0 Reactions
8 Replies
3K Views
habari wakuu,husika na kichwa cha habari hapo juu..
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Ninahitaji mashine nzuri ya kutengeneza sausages, kwa yeyote anayejua naomba anijulishe.
0 Reactions
2 Replies
3K Views
For Sale Prado Short Cheses, Year1998,Oil Type Diseal, Automatic,2600 CC ,Colour Red,127 Kml,Number D Tel ; 0764033082
0 Reactions
19 Replies
2K Views
laptop hp compaq makbook inauzwa kwa bei rahisi kabisa. ina mwaka mmoja na nusu, screen nyeusi ni window 8. haina tatizo lolote kwa maelezo zaidi tuwasiliane
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Kiwanja kinauzwa Mwongozo Kigamboni. Kiwanja hiki kina hati na kimepimwa na kiko tambarare tayari kabisa kwa ujenzi. Kina eneo la square metre 700. Kipo mahali penye usalama wa kutosha na...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Nipo dar es salaam. Kichwa cha scania tu bila trailer nakitafuta kwa matumizi yangu. Horsepower 113 au zaidi. Namba yoyote A,B,C nitajie bei from their we negotiate. Kiwe kwenye hali nzuri. Call...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Nauza laptop yangu Macbook Air 13. Slightly used but in very good condition. Bei 1.5m. Serious buyers please PM. thanks
0 Reactions
1 Replies
1K Views
TV flat screen inahitajika,brand name yeyote budget 450,000 tshs
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Back
Top Bottom