Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nahitaji Toyota Wish ama Isis haraka iwezekanavyo kwa pesa za Tanzania zisizozidi million 8. Tuwasiliane kwa no +255714478797.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wakuu, ninauza pharmacy management software kwa shillingi 1,500,000/= kwa atakayehitaji aniibox. Karibuni sana
0 Reactions
0 Replies
789 Views
Habari za humu wakuu., natumai ni kwema na tunazidi kusongesha mbele na gurudumu la maendeleo ya kujenga taifa letu. La msingi: Mimi napataikana mwanza ninauza pikipiki yangu aina ya fekon ina...
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Nahitaji mkopo wa haraka wa 250,000 Tshs nitarudisha na riba baada ya wiki 2. Dhamana ni simu Samsung galaxy s5 yenye thamani ya 600,000 Tshs.
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Nauza laptop used aina zote kwa bei nafuu kabisa,kuanzia tsh 250000 na kuendelea,piga 0675531833 sasa ujipatie laptop huipendao
0 Reactions
1 Replies
956 Views
Mambo vipi wapendwa kuna TV BRAVIA ya Sony ipo ndani ya warranty, ni flat new model inch 32 imetumika kwa muda mfupi sana. Haina mikwaruzo ya aina yoyote ile,infact ipo kwenye hali nzuri sana, ipo...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Ninauza HUAWEI Y530,BEI 150,000/= . Picha nitaileta baadae. Wasiliana na 0713 689665.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Huawei y330 inataka 85,000 haina tatizo lolote bado mpyaa.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari? nashida na simu ya line mbili aina ya Tecno, na simu ya line moja Samsung mpya kabisa Galaxy tab S.
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Nauza kiwanja maeneo ya Kange Tanga nyuma ya Ekenforde University umbali wa mita 800 toka chuo kilipo kipo kwenye mapimo,ukubwa ni 30 kwa 20 .Bei kinaanzia 7 million. Maelewano yapo kwa...
0 Reactions
14 Replies
9K Views
ni hp compaq ina mwaka mmoja na nusu, ni window 8, inadumu na charge kwa massa matatu mpaka manne, black screen speaker zake ziko imara, kwa maelezo zaidi pm
0 Reactions
0 Replies
746 Views
Sim iko Ktk box haija tumika kabisa,internal memory yake ni 16gb, sim iko Ktk box yake. kwa mawasiliano ni 0715591141
0 Reactions
4 Replies
1K Views
mada inahusika! wakuu mm natarajia kuanza first year hapo chuo cha usafirishaji mabibo hivyo natafuta chumba cha karibu na chuo! kama kuna mtu anaweza kunisaidia karibu hapa tafadhali!
1 Reactions
4 Replies
3K Views
Natafuta nyumba ya kupanga maeneo ya Mabibo au Riverside. Vyumba viwili au hata kimoja iwe na master room , sebule, jiko.
0 Reactions
0 Replies
934 Views
Habari za Jumapili wadau wa jukwaa hili la biashara, natumaini wote ni wazima na mnaendelea jukumu la kujenga Taifa. Kwa fursa hii ningependa kuwataarifu kuwa ninaplot yangu ipatayo Heka Moja na...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Cm tajwa hapo juu zinauzwz bei pow call 0714702720
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Samshani wakuu! Nafuta bomba ya chuma ili niweze kutengeneza chuma ya mazoezi kwa mahali nilipo kwa sasas nimejaribu kutafuta nmekosa so kwa mwenye nayo tuongee hata ikibidi nichangie kiasi...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kiwanja kinauzwa Chanika - Homboza kina ukubwa wa heka 1 kinauzwa shilingi milioni 8
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Pata gari nzuri kwa bei poa Piga simu 0656436662 Sent from my BlackBerry 9380 using JamiiForums
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Efatha Stationery inawakaribisha kuja kununua bidhaa za shulel, tunspatikana Buguruni
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom