Habari za humu wakuu., natumai ni kwema na tunazidi kusongesha mbele na gurudumu la maendeleo ya kujenga taifa letu.
La msingi: Mimi napataikana mwanza ninauza pikipiki yangu aina ya fekon ina...
Mambo vipi wapendwa kuna TV BRAVIA ya Sony ipo ndani ya warranty, ni flat new model inch 32 imetumika kwa muda mfupi sana.
Haina mikwaruzo ya aina yoyote ile,infact ipo kwenye hali nzuri sana, ipo...
Nauza kiwanja maeneo ya Kange Tanga nyuma ya Ekenforde University umbali wa mita 800 toka chuo kilipo kipo kwenye mapimo,ukubwa ni 30 kwa 20 .Bei kinaanzia 7 million. Maelewano yapo kwa...
ni hp compaq ina mwaka mmoja na nusu,
ni window 8, inadumu na charge kwa massa matatu mpaka manne, black screen
speaker zake ziko imara, kwa maelezo zaidi pm
mada inahusika!
wakuu mm natarajia kuanza first year hapo chuo cha usafirishaji mabibo hivyo natafuta chumba cha karibu na chuo! kama kuna mtu anaweza kunisaidia karibu hapa tafadhali!
Habari za Jumapili wadau wa jukwaa hili la biashara, natumaini wote ni wazima na mnaendelea jukumu la kujenga Taifa.
Kwa fursa hii ningependa kuwataarifu kuwa ninaplot yangu ipatayo Heka Moja na...
Samshani wakuu!
Nafuta bomba ya chuma ili niweze kutengeneza chuma ya mazoezi kwa mahali nilipo kwa sasas nimejaribu kutafuta nmekosa so kwa mwenye nayo tuongee hata ikibidi nichangie kiasi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.