Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari zenu waungwana,mie ni fundi wa umeme wa majumbani,najitokeza kwenu kuwaelezea shughuli zangu huenda kuna siku ukapatwa na tatizo lolote la kiumeme katika nyumba yako,mie ni fundi wa umeme...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nipe bei ya vioo vifuatavyo kwa sq futi. Wire glass One way Tinted black. Stay Lock Puty. Nipo moshi hivyo itakuwa vema kama vitapatikana moshi mjini ii iwe rahisi kusafirisha hadi site.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Seeing is believe,No middle men FOR MORE INFO... CONTACT ME email.. jimmyfrank26@gmail.com phone No.. +255 712 454 372 Note: "NO MIDDLE MEN"
0 Reactions
9 Replies
5K Views
Wakuu nahitaji kununua kifaa tajwa kwa haraka hapa A-town. Nimehangaika sana kuitafuta desemba ila hakuna. NB; iwe na disc zake na isiwe imebabuka. cc Ngongo & Mzee wa Rula
0 Reactions
25 Replies
2K Views
Kwa aliye na gari tajwa iwe kwa hali nzuri sana. Bei 4ml
0 Reactions
1 Replies
877 Views
natafuta godoro nchi 5x6 bajeti yangu ni laki 1 (100,000/=) nipo dar... kama unalo ni pm au weka picha yake
0 Reactions
1 Replies
994 Views
chumba na sebule kinahitajika maeneo ya kimara korogwe kuja mpaka riverside. laki moja budget. asante
0 Reactions
3 Replies
911 Views
Natafta rav4 yenye milango mi3
0 Reactions
1 Replies
943 Views
shamba lenye ukubwa wa ekar 1.5 lipo TANGA maeneo ya BOMBANI bei nafuu kabisa
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Shamba ekari Mbili linauzwa, liko katika kijiji cha Kikongo 4km kutoka mlandizi stand.Bei ni shs million 3 kwa Eka moja. kwa anaehitaji piga simu 0717686483
0 Reactions
0 Replies
981 Views
Eneo lenye ukubwa wa ekari 3, lipo usagara Mwanza. Lina nyumba ya slopu ya vyumba 3,pia banda la kufugia kuku la kisasa lenye uwezo wa kutunza kuku 600, lina choo pia. Bei nafuu sana...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Za jioni ndungu.. Kama tangazo linavyojieleza nilikua nahitaji Gari aina ya convoy war bus huwa zinatumika sana zanzibar kama usafiri wao kila siku.. Huwa ina milango miwili nyuma kama kabati...
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Unapata kila kitu Padi 2, Memory Card, Cd 5 (Need for Speed, Splinter Cell, Metal Gear Solid, Pes 2013 & 2014) Bei: Tsh150,000/= tu (Punguzo maelewano) Mahali: Dar Mawasiliano meseji tu...
0 Reactions
0 Replies
714 Views
Heshima zenu wakuu. Nina mzigo wa kutosha nipo Mbeya na bei ni sawa na bure. 0753255844
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari waheshimiwa NAUZA SPEA ZA TVS KING 3WHEELER KWA JUMLA,NIPO KARIAKOO DARESALAAM,YEYOTE ANAYETAKA WASILIANA KWA NUMBER 0714003557 au kwa whatsapp 0769063661
0 Reactions
0 Replies
2K Views
kichwa cha habari kinajieleza hapo juu kama una 1. haematology machine 2. biochemistry machine 3. centrifuge 4. and more tuma sms 0766568609 nipo mwanza
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Jipatie clutches za Dior kwa rangi tofauti., popote ulipo utapata yako kwa bei nzuri 45,000/= +255 787 583880 whatsapp kwa kupata yako.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Chumba kina ukubwa wa kutosha, kipo kijitonyama shule ya msingi, hakina singbod, umeme upo, kipo ndani ya geti,,,kodi kwa mwezi ni 40000 tu na inatakiwa miezi 6, Dalali hatakiwi. Nicheck...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
mbwa mkali, bei 600,000/= tupo dodoma 0655 362651
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakuu ninauza Nokia Lumia 630 kwa 180K. Bd ina warrant... Almost ni mpya. Ina kila kitu chake. Sababu ya kuiuza ni kwa kuwa nimepata simu nyingine. Kwa mawasiliano zaidi 0689 309 344. Ila mtaniwia...
0 Reactions
0 Replies
733 Views
Back
Top Bottom