Habari zenu waungwana,mie ni fundi wa umeme wa majumbani,najitokeza kwenu kuwaelezea shughuli zangu huenda kuna siku ukapatwa na tatizo lolote la kiumeme katika nyumba yako,mie ni fundi wa umeme...
Nipe bei ya vioo vifuatavyo kwa sq futi.
Wire glass
One way
Tinted black.
Stay
Lock
Puty.
Nipo moshi hivyo itakuwa vema kama vitapatikana moshi mjini ii iwe rahisi kusafirisha hadi site.
Wakuu nahitaji kununua kifaa tajwa kwa haraka hapa A-town. Nimehangaika sana kuitafuta desemba ila hakuna. NB; iwe na disc zake na isiwe imebabuka.
cc Ngongo & Mzee wa Rula
Shamba ekari Mbili linauzwa, liko katika kijiji cha Kikongo 4km kutoka mlandizi stand.Bei ni shs million 3 kwa Eka moja.
kwa anaehitaji piga simu 0717686483
Eneo lenye ukubwa wa ekari 3, lipo usagara Mwanza. Lina nyumba ya slopu ya vyumba 3,pia banda la kufugia kuku la kisasa lenye uwezo wa kutunza kuku 600, lina choo pia. Bei nafuu sana...
Za jioni ndungu.. Kama tangazo linavyojieleza nilikua nahitaji Gari aina ya convoy war bus huwa zinatumika sana zanzibar kama usafiri wao kila siku.. Huwa ina milango miwili nyuma kama kabati...
Unapata kila kitu
Padi 2, Memory Card, Cd 5 (Need for Speed, Splinter Cell, Metal Gear Solid, Pes 2013 & 2014)
Bei: Tsh150,000/= tu (Punguzo maelewano)
Mahali: Dar
Mawasiliano meseji tu...
Habari waheshimiwa
NAUZA SPEA ZA TVS KING 3WHEELER KWA JUMLA,NIPO KARIAKOO DARESALAAM,YEYOTE ANAYETAKA WASILIANA KWA NUMBER 0714003557 au kwa whatsapp 0769063661
kichwa cha habari kinajieleza hapo juu
kama una 1. haematology machine
2. biochemistry machine
3. centrifuge
4. and more
tuma sms 0766568609 nipo mwanza
Chumba kina ukubwa wa kutosha, kipo kijitonyama shule ya msingi, hakina singbod, umeme upo, kipo ndani ya geti,,,kodi kwa mwezi ni 40000 tu na inatakiwa miezi 6, Dalali hatakiwi. Nicheck...
Wakuu ninauza Nokia Lumia 630 kwa 180K. Bd ina warrant... Almost ni mpya. Ina kila kitu chake. Sababu ya kuiuza ni kwa kuwa nimepata simu nyingine. Kwa mawasiliano zaidi 0689 309 344. Ila mtaniwia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.