bukoba boy
JF-Expert Member
- Jan 15, 2015
- 5,376
- 3,976
Ongeza maelezo, imetembea km ngapi? wewe ni mliki wa ngapi? etc..., je unapokea 5.5 cash?
Yani We Kapasso no C uuze M7? Utasubiri sana mkuu.Nipe 7m nikuachie hii gari.hali nzuri hakuna tatizo lolote.
Yani We Kapasso no C uuze M7? Utasubiri sana mkuu.
Niliagiza so kibongo ni mmiliki wa kwanza,km 108000.Sasa sikiliza nipe 6.25m nikuqchie.
Ongeza maelezo, imetembea km ngapi? wewe ni mliki wa ngapi? etc..., je unapokea 5.5 cash?
Hizi ni biashara usiwe na pupa wewe wacha wenye hela waongee.
Munawar bhaana!! Kweli akasome.Yaani una matatizo sana !!!! Kasomee udalali !!! Yaani bei imepungua kutoka 7 million mpaka 6.25 million ??? Mtoto kweli Bukoba
Munawar bhaana!! Kweli akasome.
Number D
Number D
#Munawar wewe kila cku unalalamika hapa watu wasikupangie bei, ww mbona unampangia mwenzako bei? Madalali mna roho mbaya sana, hutaki mwenzako apate...Punguza chuki
Bado passo iko sokoni.
Lete izo m7 nikuagizie Japan
Yani We Kapasso no C uuze M7? Utasubiri sana mkuu.