tunauza fresh apples(true cape) kwa bei ya jumla,zipo box pack size 90,100 na 110..tupo mwenge mkabala na efatha bank,dar es salaam ;
tunapokea order za mikoani
contact:0717 163106,0756...
Taasisi ya Tanzania Global Learning agency (TAGLA) wataendesha course ya data analysis, Monitoring and Evaluation (M&E) huko Arusha, Tanzania kuanzia tarehe 23-28,November 2015. Katika kozi hii...
Habarini washika dau?
Ebana mimi ni mjasilia mali mwenye aidia ya kuuza t-shirt zenye nembo/maneno tofauti tofauti. Natafuta mshirika ambae anaprintigi hizi mambo either kwenye ofisi yake au...
Kama una harusi unataka mziki, DJ,mc
Wasiliana na mimi nina(full music) tunakodisha, kwa garama ya 700000/
Hapo ina jumuiya mc, DJ, garama ya mziki, usafiri
Kwa mawasiliano zaidi 0715591141...
Nauza mkaa kwa bei ya jumla, mkaa una ujazo wa mbavu mbili, mkaa unatokea kusini bei kwa gunia ni 45,000.
Kwa atakayenunua kuanzia gunia tano ataletewa mpaka alipo, kwa anaehitaji anaweza nipata...
*TV ya Sony Bravia inauzwa
*Ni TV ya inch 32
*Bado ipo kwenye Warranty ya miaka miwili
*Ina Box lake pamoja na risiti zake
*Haina scratch/mikwaruzo ya aina yoyote ile
*Haina tatizo lolote lile...
Plot inapatikana maeneo ya Kibaha kwa mathias ni nzuri kwa ajili ya uwekezaji wa aina yeyote ile lipo barabarani, lipo karibu na jeshi la nyumbu,lipo kwa ajili ya kupangishwa na sio kuuzwa kwa...
wakuu sehemu gani dar naweza nikapata nguo nzuri za kupendeza kwa mvulana za kutosha kuanzia t-shts,shrts,trousers,pens na viatu especially viwalo vya mtumba kwa bajeti ya laki 2?
Ni heka mbili utakuwa una_share mpaka na rais mstaafu ndugu JK na kama wote tulivyosikia kwamba rais akistaafu alisema atarudi Msoga kuendelea na kilimo.
Basi hii ni nafasi nzuri yako ndugu...
Wadau km tangazo linavyojionyesha natafuta gari ya kazi pick up. Tani 2.
Kama unayo nicheki whatsapp kwa picha number 0769630209.
Kwa anayeuza tu.
Dalali sihitaji.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.