Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Android phone . Haina tatizo lolote . Android phone + window os . Workperfect.
0 Reactions
2 Replies
804 Views
tunauza fresh apples(true cape) kwa bei ya jumla,zipo box pack size 90,100 na 110..tupo mwenge mkabala na efatha bank,dar es salaam ; tunapokea order za mikoani contact:0717 163106,0756...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Taasisi ya Tanzania Global Learning agency (TAGLA) wataendesha course ya data analysis, Monitoring and Evaluation (M&E) huko Arusha, Tanzania kuanzia tarehe 23-28,November 2015. Katika kozi hii...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Habarini washika dau? Ebana mimi ni mjasilia mali mwenye aidia ya kuuza t-shirt zenye nembo/maneno tofauti tofauti. Natafuta mshirika ambae anaprintigi hizi mambo either kwenye ofisi yake au...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Inahitajika pilipili manga kama tonne tatu wakuu kwa yeyote anayejua sehemu/mahali zinapopatikana kwa wingi naomba msaada tafadhali.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kama una harusi unataka mziki, DJ,mc Wasiliana na mimi nina(full music) tunakodisha, kwa garama ya 700000/ Hapo ina jumuiya mc, DJ, garama ya mziki, usafiri Kwa mawasiliano zaidi 0715591141...
0 Reactions
0 Replies
978 Views
Habari wana Jamvi. Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu. Napatikana Kibaha, Pwani. Kama unazo, please, ni PM mawasiliano yako. Ahsante.
0 Reactions
1 Replies
950 Views
Wadau nauza TV Samsung inch 32. Niko daslam if interested nicheki kwa 0769630209. Bei ni 550 imetumika for 5 months bado ina warranty ya mwaka mzima.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Nauza mkaa kwa bei ya jumla, mkaa una ujazo wa mbavu mbili, mkaa unatokea kusini bei kwa gunia ni 45,000. Kwa atakayenunua kuanzia gunia tano ataletewa mpaka alipo, kwa anaehitaji anaweza nipata...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Natafuta Kioo (Display) ya Samsung Note III Original (O.G) Kwa aliyepo Dar mwenye nacho anicheki +255657649475
0 Reactions
0 Replies
1K Views
*TV ya Sony Bravia inauzwa *Ni TV ya inch 32 *Bado ipo kwenye Warranty ya miaka miwili *Ina Box lake pamoja na risiti zake *Haina scratch/mikwaruzo ya aina yoyote ile *Haina tatizo lolote lile...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Plot inapatikana maeneo ya Kibaha kwa mathias ni nzuri kwa ajili ya uwekezaji wa aina yeyote ile lipo barabarani, lipo karibu na jeshi la nyumbu,lipo kwa ajili ya kupangishwa na sio kuuzwa kwa...
0 Reactions
0 Replies
838 Views
Habari wana jf...yeyote anaejua sehemu yenye chumba maeneo ya hapo chuoni mbezi naomba msahada wake tafadhali kwenye namba 0713589112.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Nauza kifaa tajwa hapo juu. Hali-used katka ubora wa hali ya juu Bei-250,000 contacts-=0684264362 Npo morogoro mjin
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Pata Shuka moja, duvetcover 1 na foronya 4 kwa rejareja 50000 jumla 45000 kuanzia 5. Ni pure cotton, size 6?6 Ukihitaji nicheck 0629586817
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Canon copier desk top iko katika hali nzuri inauzwa bei tsh laki nane .Maongezi yapo piga simu 0712652110 Dar
0 Reactions
0 Replies
1K Views
wakuu sehemu gani dar naweza nikapata nguo nzuri za kupendeza kwa mvulana za kutosha kuanzia t-shts,shrts,trousers,pens na viatu especially viwalo vya mtumba kwa bajeti ya laki 2?
0 Reactions
40 Replies
5K Views
Ni heka mbili utakuwa una_share mpaka na rais mstaafu ndugu JK na kama wote tulivyosikia kwamba rais akistaafu alisema atarudi Msoga kuendelea na kilimo. Basi hii ni nafasi nzuri yako ndugu...
2 Reactions
27 Replies
3K Views
Wadau km tangazo linavyojionyesha natafuta gari ya kazi pick up. Tani 2. Kama unayo nicheki whatsapp kwa picha number 0769630209. Kwa anayeuza tu. Dalali sihitaji.
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Back
Top Bottom