Ng'arisha meno kwanjia salama bila madhara. . Kit Zinapatikana sasa kwabei poa ya elfu 20.. free delivery kwa wakazi WA DAR, MWANZA, MOROGORO NA MOSHI. ..
Wateja wa jumla karibuni inbox #0715908050
MAZIWA FRESH YANAPATIKANA (HAYAJACHAKACHULIWA KWA KUTIWA MAJI HATA KIDOGO)
=>YANAKAMULIWA KATKA HALI YA USAFI WA HALI YA JUU
=> LITA 200 KWA KILA SIKU TUNAUZA KUANZIA LITA 5,10,15,20...
Kiwanja kisichopimwa kinauzwa Kigamboni mwembe mdogo jiran na mradi wa magorofa ya NSSF, ukubwa ni nusu heka kiko maeno karibu na barabara.
Bei milion sita (6m) kwa mwenye uhitaji anicheki kwa...
Habari!
Husika na kichwa cha habari hapo juu. Kama gari unayo tuwasiliane kwa namba 0672 69 67 72.
Aidha, gari inayo hitajika hapa inatakiwa iwe yenye namba D na ni vizuri ikawa Dar...
Kupata Visa ya kwenda China unatakiwa uwe na barua ya mualiko kutoka kwa mtu ambaye ni raia wa China au Kampuni iliyoko China. Hii ni moja ya nyaraka ambayo uwasilishwa ubalozini unapokuwa...
Katika ndoa nyingi kumekuwa na changamoto mbalimbali ambazo baadhi hutatuliwa na wanandoa wenyewe na nyingine huitaji ushauri wa kitaalamu, Mtaalamu wa saikolojia ya mapenzi aliye na uzoefu wa...
Kichwa cha habari cha husika nahitaji laini ya wakala ya airtel money kama uko Dodoma ni PM au comment hapa nitakutafuta.
Masharti nitumie namba ya wakala ili nijue ni ya sasa au ya zamani.
CASH...
Jipende au mpende mwanao au mdogo wako
MLETE APATE ELIMU NA MALEZI BORA.
wapi? UJIJI ISLAMIC sec
Kidato cha I mpaka IV
ADA:1,000,000/= bweni 400,000/= kutwa
ujiuji kigoma
Simu...
Zile card au bag wengine huita ambazo huvaliwa na wafanyakazi wa hotel kumtambulisha jina lake.
Kama una uzoefu wa kutengeneza au unajua kampuni ambayo hutengeneza MSAADA TAFADHALI.
Mawasiliano...
Habari wakuu
Natafuta kiwanja kuanzia maeneo ya Ngulelo mpaka kwa pole kiwa kina ukubwa kunzia mita 25 kwa upana na urefu kuanzia 30 hata na zaidi pia liwe eneo linalofaa kuongeza endapo siku...
Unaweza kuitumia na tv card ambayo dukani tv card inauzwa 45000
Pia unatumia na computer
Jina lake ni viewsonic
Ina na speaker
Inapiga kazi vizuri haina tatizo lolote
Kama upo interest...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.