Apologise lady
JF-Expert Member
- Sep 16, 2013
- 5,980
- 3,115
Bei Tsh 30000, kwa walio Dar unaletewa hadi karibu na kwako, mikoani tunatuma ila gharama za usafirishaji ni juu yako.
Ni pm
Mungu Aliye Hai Anaebariki Kazi Za Mikono, Ninamwomba Sasa Na Akubariki, Ukajae Na Ukaongezeke Kwa Jina La Yesu Kristo.
Bei Tsh 30000, kwa walio Dar unaletewa hadi karibu na kwako, mikoani tunatuma ila gharama za usafirishaji ni juu yako.
Ni pm
Baada ya maombi hayo,vipi hakuna mkopo?
Mzigo wa ukweli tutakuungisha Kwa roho safi
Ameeni,
Asante my mtumishi
ngoja ninunue, nikivaa tu, utaona mafuriko yake nchi nzma itakutafuta. unajua sisi watumishi kuna wkt huwa naenda kijiweni kuwahubiria Injili, Sasa Ni Vzr Uende Na Laba Ili Ufanane Nao, Wasipockia Neno, basi hata laba wataulizia tu.
bei ya jumla je?
Hata mimi wa 47 nikitupia hizi nyayo lazima ning'are.
Aisee!! Hebu jaribu uwatoe nishai vijana wanaovaa yeboyebo
niandalie namba 8/42, ili nitokelezee mchungaji kijana!! na vya kike unavyo?
Ucjali, umepata, vyakike vipo vingi sana, nipe size pls
Kwa iyo kutuma mpk hapa nilipo sh.ngp? ivyo vya kike mmmm!! cna wa kumpa
Hahaha,aisee vipo fresh sana.
Nikija nitakutafuta mjasiriamali mwenzangu.
Maana unaisaka pesa mpaka kusuka hutaki,umeona ukate nywele zoote,maana muda wa dressing table unachukua maisha yako.
Wengine tukinunua wadogo zetu wanajifanya wao wanajua kuvaa kuliko sie,kesho unakuta kaisha vitinga,aisee ukubwa jalala
Bei Tsh 30000, kwa walio Dar unaletewa hadi karibu na kwako, mikoani tunatuma ila gharama za usafirishaji ni juu yako.
Ni check whatsapp 0629 586817