Natafuta kiwanja Kigamboni

Natafuta kiwanja Kigamboni

Abuu Kauthar

JF-Expert Member
Joined
Jul 10, 2011
Posts
4,489
Reaction score
6,884
natafuta kiwanja kilichopimwa kigamboni kati ya kibada, mikwambe, mji mwema, kibugumo, gezaulole, na maeneo ya jirani. sharti kiwe kimepimwa. kama unacho au dalali nifuate pm.

Asanteni, nipo serious sitaki jokes

Bajeti 15mil
 
Mimi nataka gezaulole bgt 10mil, sqm 800-100
 
natafuta kiwanja kilichopimwa kigamboni kati ya kibada, mikwambe, mji mwema, kibugumo, gezaulole, na maeneo ya jirani. sharti kiwe kimepimwa. kama unacho au dalali nifuate pm.

Asanteni, nipo serious sitaki jokes

Bajeti 15mil

mkuu kipo mikwambe, kwa pinda nichek 0656367364
 
Wadau jitokezeni
Mkuu njoo nkuzie cha dege kile surveyed kiko, namba ya sm nishakupa tuwasiliane uje ofisini kwangu tuzungumze zaidi.
Nkuone she na mchoro pia
 
Mkuu njoo nkuzie cha dege kile surveyed kiko, namba ya sm nishakupa tuwasiliane uje ofisini kwangu tuzungumze zaidi.
Nkuone she na mchoro pia

Mkuu kwa matumizi yangu naona Dege mbali kidogo angalau mwisho geza kwa njia hiyo
 
tuna viwanja Mwasonga km 28 toka ferry na km 21 toka Kibada:
1. viwanja mita za kuanzia mita za mraba 601-800 medium density vipo
2. viwanja mita za mraba 801-2000 low density vipo
3. viwanja mita za mraba 2000 na zaidi super low density vipo

bei ni shilingi 9500 kwa mita ya mraba kwa viwanja vya makazi
bei ni shiling 10500 kwa mita ya mraba kwa viwanja vya makazi na biashara
bei inahusu pia ghrama za maandalizi ya hati

fika ofisini kwetu kawaw road/ikungi street
piga simu 0688592740

tanzania best choice real estate agent
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom