Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Samahani wakuu ninahitaji kupata kifaa cha kufanyia mazoezi hasa ya kukimbia.kuna kifaa kinaitwa treadmill kitanifaa zaidi. Wapi wanauza kwa Dar?
0 Reactions
11 Replies
6K Views
Habari zenu wote! Napangisha nyumba ipo maeneo ya Kijitonyama Mabatini jirani na kwa Mama Anna Makinda. Sifa za nyumba hiyo ni kama zifuatazo:- 1. Self contained 2. Vyuma vitatu vya kulala kimoja...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Am selling malboro cigarete from south africa In a good price Our price is 23,000 per 10 parkt Call 0656436662 and press ur order
0 Reactions
0 Replies
687 Views
Simu tajwa hapo juu inauzwa haina tatizo lolote bei 120000 piga 0714702720
0 Reactions
3 Replies
1K Views
sifa zake. RAM:2GB HDD:320GB CPU:2.4GHZ picha nimeshindwa kuaplod hivyo nitatuma kwa njia ya watsapp kama unahitaji, 0672110065
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu ni wapi naweza pata asali bora kwa hapa dar es salaam??
0 Reactions
3 Replies
776 Views
Gari nliyoitaja hapo inauzwa fasta bei Cher gari ni nzima haina shida yoyote. Bei yake ni 5 milion Ina 4wd,ina gear tano Inapatikana Dar es salaam kwa mawasiliano piga sim 0715591141
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Nyumba inauzwa bunju beach ina ukubwa wa sqm 1000 ipo ndani ya fensi ina bedroom 3 ina dyning ina store, sitting room pia ina servant coter na nyumba ina hati miliki.....BEI YAKE NI TSH 250milion...
0 Reactions
18 Replies
4K Views
Nilituma mtu kuninunula washing machine, lakini kwavile ni binti hakuelewa namna ya kutumia. Ipo user manual ila nina shida ya kuona maandishi madogo. Naomba mtu tupatane nae nitampa nauli na kuja...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Suzuki Carry Truck inauzwa. Number D. Haijatumika TZ. Haijalipiwa Bima. Ya 1998 Manual Haina FW Mileage 28,000 kms White Interested, Pse PM.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Tunapatikana karume kwa mawasiliano piga 0718375766
0 Reactions
2 Replies
2K Views
  • Closed
Kipo Mbezi Msumi Nyumba imefikia kwenye lintel bei 10 million nicheck humu 0786192808
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kwa anaehitaj PS3 ikiwa na pad ake orignal nakupa na CD3, fifa2015,street soccer namaxp3 kwa shiling za kitanzania 380,000/- tu. PM kwa anaehitaj.
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Tunachimba visima bei ni TZS 70,000/= kwa mita moja na hii bei ni kwa wale waliopo Dar es salaam ila kama upo nje ya Dar es salaam tunachimba Laki moja kwa mita moja. Tunafunga Pampu pamoja na...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Habari za mchana. Office inapangishwa ipo eneo la Mikocheni karibu kabisa na suma jkt njia ya kwenda kawe. Ina parking kubwa ya kutosha. Jengo lina vyumba vitano, sehem ya jiko na choo. iko...
0 Reactions
0 Replies
862 Views
Greetings, great thinkers, I am here to ask for your cooperation in this attempt of national building and seeking the daily bread. As a way of beating poverty and seeking financial freedom, I...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Wadau natafuta gari tajwa hapo kwa ajili ya biashara ya daladala! Gari iwe na sifa hizi 1. Iwe nzima kabisa na inafanya kazi! 2. Isiwe imefanyiwa overhaul (kubadilishwa engine) 3. Iwe walau...
0 Reactions
11 Replies
5K Views
nipo Morogoro mizigo ni Vtu vya Ndani Kama Unafahamiana Na dereva Naomba Unisaidie Namba!! mmbarikiwe
0 Reactions
4 Replies
2K Views
wakuu ninahitaji Toyota IST, iwe katika hali nzuri budget yangu ni 8mlns, ila tunaweza kuongea pia in case unaiuza kwa bei ya juu kidogo...
0 Reactions
0 Replies
863 Views
Back
Top Bottom