Niuzie Toyota Coaster

Niuzie Toyota Coaster

BIGURUBE

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2014
Posts
6,748
Reaction score
4,258
Wadau natafuta gari tajwa hapo kwa ajili ya biashara ya daladala!

Gari iwe na sifa hizi
1. Iwe nzima kabisa na inafanya kazi!
2. Isiwe imefanyiwa overhaul (kubadilishwa engine)
3. Iwe walau kuanzia number B na kuendelea!

4. Isiwe inadaiwa kodi za serikali
5. Kama ikiwa maeneo ya Dar na mikoa ya jirani itapendeza zaidi!

Kama una gari tajwa hapo juu Tafadhali tuwasiliane tufanye biashara...
Naomba dalali msiniulize budget yangu maana sometimes huwa mnapandisha bei ya kitu kulingana na budget ya mteja....sina limit sana ya bei, just come with your quotation!

Tuwasiliane kwa 0785418101, or pm
 
Safi sana mkuu,
Maana ukisema tu Budget imakula kwako,maana humu JF kuna watu ndio zao.

Na waambie wakutumie picha halisi
 
Hapana mkuu nakubishia kuwa Nissan Civilian ni nzuri kuliko Coaster, hiyo sio kweli hatq kidogo, najua kwa budget yangu Ningekuwa nahitaji Civilian ningemudu kuingia showroom maana bei zake ni za kawaida sana

Katika dala dala kumi, tano ni Civilian, Tatu ni Coster na mbili ni nyinginezo (Eicher, DCM, Rosa n.k)
 
Mkuu ipo moja imetumika kidogo kama miezi 6!
Iko Tanga
Unalipia road license tu na bima unafanyia shughuli zako
Bei 30 mil!
 
Katika dala dala kumi, tano ni Civilian, Tatu ni Coster na mbili ni nyinginezo (Eicher, DCM, Rosa n.k)

Inategemea ni Barabara gani, mfano barabara toka Tabata-Kariako/Posta, au Mabibo-posta daladala nyingi ni Nissan Civilian, lakini ni nadra kukuta Nissan Civilian toka Kimara, Mbezi, Tegeta na kwingineko!

Thsmani ya Coater na Nissan Civilian ni tofauti sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom