Nyumba ya kisasa inuzwa Bunju Beach

Nyumba ya kisasa inuzwa Bunju Beach

bizzle for shizzle

JF-Expert Member
Joined
Dec 22, 2014
Posts
1,013
Reaction score
743
Nyumba inauzwa bunju beach ina ukubwa wa sqm 1000 ipo ndani ya fensi ina bedroom 3 ina dyning ina store, sitting room pia ina servant coter na nyumba ina hati miliki.....BEI YAKE NI TSH 250milion maongezi yapo.
 

Attachments

  • 1448545919798.jpg
    1448545919798.jpg
    32.2 KB · Views: 1,207
usijekuwa upo kati ya wale wanaobomolewa na Magufuri
 
mkuu wewe ungeithamanisha kwa ngapi!!!hope haipo kwenye tishio la kubomolewa na HapaKazi tu!

80m najenga hiyo nyumba. Cha muhimu ujue source nzuri za raw materials maana ukienda kichwa kichwa na swagga za kiofisi hata lori la mchanga utaambiwa laki 2
 
Nyumba inauzwa bunju beach ina ukubwa wa sqm 1000 ipo ndani ya fensi ina bedroom 3 ina dyning ina store, sitting room pia ina servant coter na nyumba ina hati miliki.....BEI YAKE NI TSH 250milion maongezi yapo.
Mkuu hizi lugha jamani ni mungu anajua tu
 
Nyumba inauzwa bunju beach ina ukubwa wa sqm 1000 ipo ndani ya fensi ina bedroom 3 ina dyning ina store, sitting room pia ina servant coter na nyumba ina hati miliki.....BEI YAKE NI TSH 250milion maongezi yapo.

mkuu wewe ungeithamanisha kwa ngapi!!!hope haipo kwenye tishio la kubomolewa na HapaKazi tu!
Mbona hamueleweki nani muuzaji Kati yenu?
 
Kiwanja kina hati miliki halali iliyotolewa na wizara ya ardhi hiyo hapo hakuna tinga tinga na hakuna open space
 
Ningeomba tuwe makini.
Kuna list ya mdau mmoja alisema mahekalu kubolowa na kuna page moya ya adobe ina picha zoote za baadhi ya majumba ya kifahari.
Ila cha kushangaza na kustua ni kwamba Nyumba hizo zaidi ya mwaka mzima ukiingia kwenye zoom tanzania unakuta zinauzwa which means wenyewe walikuwa wanajua nini kitafuata.Na baadhi ya nyumba hizo zilinunuliwa na watu wengine ambao wanasubiria majaaliwa.

Kwa kasi hii ya sasa,kununua nyumba uwe makini saaaana,lazima ufuatane na mhusika hadi kwa wizara na mkandarasi anatembeza kichapo kuhakiki.
 
Mkuu nyumba ina squiremeter 1000? Au ulimaanisha kiwanja?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom