Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habaru, Nahitaji mtungi wa gesi aina ya oryx na king'amuzi cha Azam. Mwenye nacho naomba anipm ili tuweze kupatana bei. Joel
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ni nyumba yenye vyumba vinne,choo na sebule.Nyumba ni Mali yangu binafsi, ina umeme wa luku na maji yako jirani.Bei ni milioni thlathini maongezi yapo Mawasiliano,0654865376,0757265744
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Plot inauzwa maeneo ya mwembe mdogo kigamboni ni mita 50 kutoka main road kiwanja kina ukubwa wa mita 30*30 lakin hakijapimwa. 0764503076. Bei milion 6.5
0 Reactions
1 Replies
931 Views
Wadau nauza simu aina ya techno C8, Ina rangi nyeupe, 5.5" screen, 1gb ram, 16gb ROM, Os ni 5.1 lollipop, unapata cover, chaja, earphone, kwa 290,000/= tu, anayehitaji anipate kwa simu 0768729731.
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Nataka kununua, Spike kubwa, Buster moja Mixa moja Kinanda n.k vyote vya kanisani anaefahamu duka linalouza vyombo vya uhakika ani PM aweke namba ya simu ya Tigo. Tuwasiliane mimi nipo Moro..
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Kama unataka kuongeza mita,kuingiza umeme, kuanzia nguzo 0 mpaka tano wasiliana nami utashughulikiwa kulingana na uhitaji wako.. kwa njia halali (hapa ni express services) karibu..dar esalaam...
0 Reactions
24 Replies
2K Views
TANGAZO LA BIASHARA KIWANJA NA. 118 KILOLO WILAYANI, KINAUZWA! Kipo kijijini LUGANGA, mita chache sana kutoka kwenye ofisi za Mkuu wa Wilaya ya Kilolo, mita chache sana pia kutoka kwenye ofisi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kiwanja kinauzwa kipo karibu na Airport Dar es Salaam. Ni kikubwa cha kuweza kujenga nyumba ya vyumba sita, parking na sehemu ya kupanda miti. Wahi kukinunua wakati huu tukielekea kwenye mvua ili...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Hbr wana JF, Naomba anaefaham vizuri namna ya kuitambua simu original aina ya Samsung galaxy note 3 anisaidie nina mpango wa kuinunua ths week. Thnx in advance. ..
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Nasikia kuna jiko linasonga ugali lenyewe, hapo hapo linapika wali na linasehemu ya kupikia mboga, pia lina friji sijui oveni ya kutunzia chakula kiendelee kuwa cha moto. Vyote hivyo vinakuwa...
0 Reactions
22 Replies
2K Views
Nauza cm tajwa apo ni bdo mpya kbsa haina michubuko popote ntakupa chaja,earphone na na cover lake ipo na screen protector imetumika mwez na nusu kw anae itaj nchek kw namba 0653557633 npo dar.ina...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Simu iko katika hali nzuri sana ila ni icloud locked. Serious buyer who wants it just call me via 0718 620 305. Price Laki 3.5
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Sasa udongo wetu Aunt Zainab's Natural Super Clay unapatikana Arusha. Huu udongo ni 100% wa asili, haujaongezwa chochote na moja ya matumizi ni kama liwa lakini una ubora zaidi ya liwa. Kwa...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Hakuna kitu chenye umuhimu kwetu binaadam zaidi ya afya zetu. Afya njema haina thamani ya kuinunulia (priceless). Usione taabu wala uvivu kupima afya yako. Sasa una fursa ya kupimwa bure kabisa...
3 Reactions
109 Replies
12K Views
Tunauza ubuyu mtamu sn kutoka Zanzibar. Bei poa kabisa ni sh 1,500. Kwa watu wa moshi unaletewa popote ulipo. Bei ya visheti ni 1000
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Prado TX Engine capacity;CC 3000 Model 1KZ Fuel Diesel 3.0L Reg No T00A Duty Paid ADO Miter reading 210000 Haijawai kugongwa au kupigwa put wala kurudishiwa rangi! Gari ninzuri sana! Kama unataka...
0 Reactions
0 Replies
937 Views
Tunachimba visima vya aina zote karibuni. Contact : +255659734925
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Naomba awasiliane nami hapa hapa anijibu na atoe no.yake
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ubarikio, Kitchen party, wedding invitation, Identy card etc. Unatengenezewa faster call me now 0759483545
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Back
Top Bottom