Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Shamba lenye ukubwa wa heka nane linauzwa , liko eneo la tengeru chini karibu kabisa na chuo kikuu cha NELSON MANDELA, Arusha. km tatu toka barabarani, shamba limepakana na mto wenye maji kwa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari, Nahitaji king'amuzi cha Azam. Mwenye nacho naomba anipm ili tuweze kupatana bei. Joel
0 Reactions
14 Replies
2K Views
simu tajwa inauzwa iko katika hali nzur,haina tatizo lolote,kama unahitaji tuwasiliane kwa 0672110065,picha ntakutumia whatapp nimeshindwa kuattach
0 Reactions
0 Replies
761 Views
Wakuu Nina Kiasi Tajwa Hapo Juu Naomba Mwenye Gari Moja Kati Ya Hizi Aniuzie
0 Reactions
0 Replies
766 Views
Habari zenu waungwana, Me ni kijana mwenye taaluma ya umeme wa majumbani, Mwenye kuhitaji fundi kwa ajili ya kufanyiwa wiring au kulekebishiwa hitilafu katika nyumba yake asisite kuwasiliana nami...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Pata kiatu chako kwa Tsh 25000 tu, kwa wale wa Dar unaletewa ulipo ila sio nyumbani kwa sh 1000, wa mkoan unatumiwa ila gharama za usafirishaji itakuwa yako. Pia biashara yangu sitaki mtu wa...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
HP 15-r014tx... Core i5 1.7ghz boosted to 2.4ghz(4th Gen)... ram 4gb and hdd 1tb... 2gb Dedicated nVidia 820m Graphics Card... 15.6" LED Display #0718645833
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nauza raba jumla sh 5000 tu, kuanzia nusu dozen. Dozen zikaa kuanzia 36 inategemea na aina ya raba yenyewe. Wa Dar-es-salam unaletewa ulipo ila sio nyumbani kwa sh1000, wa mkoani unatumiwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Sub-ufer iko poa ya Samsung original bei 250,000" ina na deki yake na kumeza Kama unataka nicheki Kawa 0713415537 Wa mikoani ukitaka garama yako mimi nipo dar
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wapendwa wana Jf mm ni mjasiriamali, nauza mbao kwa bei poa kabisa. Nipo buguruni. Ikiwa upo kwenye ujenzi wewe, rafiki, jirani na hata ndugu karibuni wote. Mawasiliano 0715401379.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu wa jukwaa hili..naamini mu buheri wa afya..leo nimeamua kushare na nyinyi hii taarifa kua kuna kampuni ya simu inaitwa BLUMOBILE wanatengeneza simu zinazofahamika kwa jina la...
1 Reactions
58 Replies
9K Views
Nauza mkaa kwa wauzaji wadogo wadogo na wakubwa kuanzia gunia 20 mpaka 100,ninauchoma mwenyewe . Ni pm ili tufanye biashara
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Magari ya kubeba mkaa
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Tigo pesa 280k Mpesa 170k Airtel 120k Utapata na vitabu vyake vikiwa vipya . 0712191251.
0 Reactions
33 Replies
4K Views
Kwanini unakosa fursa ya kutangaza biashara,kanisa,shule,kiwanda,hospital, kampuni n.k duniani? Sasa tupo kwa ajiri yako. Pata website yenye mwonekano wa kisasa na wakuvutia kwa Tsh 350,000 tu...
0 Reactions
18 Replies
4K Views
HP 15-r014tx... Core i5 1.7ghz boosted to 2.4ghz(4th Gen)... ram 4gb and hdd 1tb... 2gb Dedicated nVidia 820m Graphics Card... 15.6" LED Display #0718645833 ***** Price is 800k *****
0 Reactions
0 Replies
677 Views
Huwa nafanya safari za Mby -dar-mby kwa kutumia Gari Noah. Safari hizi huanzia Mby MJINI/ au Uyole hadi Shekilango Dar. Hufanyika jioni, hivyo kuingia Mby au dar alfajili au asubuhi kabla ya SAA...
1 Reactions
2 Replies
983 Views
Naitaji eneo la kununua lenye madini (gold) lenye ukubwa kuanzia km1 naitaji eneo ilo kwaajiri ya kuchimba madini (gold) vigezo.... Liwe na vibari harari na vinavyo tambulika kiserikari na...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Mambo zenu wadau kitu chasumsung galaxy note 3 original na box lake, imetumika kwa miezi 9, iko katika hali nzuri na haina tatizo lolote INTERNAL MEMORY : 64 GB RAM: 3gb CAMERA:13mp Android...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Ipo katika hali nzuri sana, bei nafuu. Body ni full metal and glass. Cpu ni 2.5ghz quad-core, ram 2gb, int memory 16gb, memory sd up 128gb. Orig htc dot view cover.
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Back
Top Bottom