Nilituma mtu kuninunula washing machine, lakini kwavile ni binti hakuelewa namna ya kutumia. Ipo user manual ila nina shida ya kuona maandishi madogo. Naomba mtu tupatane nae nitampa nauli na kuja kwangu na kurudi na ka asante ili aje anielekeze namna ya kutumia. Hakununulia duka la mjini ni private maduka ambapo hawezi kurudi mpaka awe na mtu aliyempeleka mwenye kibali kuingia hiyo sehemu.
Naomba atakaye jitokeza awe mtaalamu wa kuuza duka la mfano hizo washing machine............
Wasiliana na 0713-689665
asante
Naomba atakaye jitokeza awe mtaalamu wa kuuza duka la mfano hizo washing machine............
Wasiliana na 0713-689665
asante