NAFASI YA KAZI YA UMENEJA
Anatafutwa meneja wa kusimamia mradi wa kusaga nafaka Dar es salaam. Kazi yake kubwa itakua kusimamia uzalishaji pamoja na mauzo
1. Awe na Elimu ya Kidato cha Nne...
Kuna vyumba viwili vinapangishwa (Chumba na Sebule & Chumba na Sebule) bt sio master bedroom bei ni sh 80,000/= na Sh 100,000/= kwa mwezi but inatakiwa kodi ya mwaka mzima, Umeme ni Luku na nyumba...
MASHINE ZETU NI FULL AUTOMATIC, NA TUNATOA WARRANTY YA MIAKA MIWILI, SASA TUMEFUNGUA TAWI NJOMBE MJINI MTAA WA CHAUGINGI MKABALA NA KINGS FM RADIO.
KAMATA FURSA NA CGS (T) LTD
Habari wana jf, hii ni fursa kwa wakazi wa Moshi na waliopo mikoa ya jirani na moshi tutakuja kufanya Ground water survey maeneo ya huko kuanziya tarehe 8/12/2015 kwa yeyote atakaye hitaji huduma...
Hizi hippo latern mobile solar power zina solar pannel yake ya 3.7 W, je, unaweza ukaichaji katika umeme wa TANESCO badala ya kuichaji katika jua kwa kutumia pannel yake?
VISOLA hivi vina rangi...
Nahitaji Isuzu injection kununua. Bei maelewano ila inaanzia na Tsh 3m na kuendelea. Ikiwa popote hata ifakara au Tabora tutaifuata. Iwe Tipper au boxboard sawa tu.
Rafiki yangu anahitaji kiwanja Mbezi beach barabara ya chini. Maeneo ya Rainbow mpaka Round About ya Whitesands.
Ukubwa 1500-1800sqm.
Kiwe na document zote.
Bajeti 200-250M.
Kama una...
Kwa wale wanunuz wa
Amira kwa jumla na
Wale wanao dili na usamabazaji na uuzaji wa hydrocloric acid
Naomben tuwasiliane zipo kontena zenye mzigo huo zinauzwa
Piga simu 0656436662
Habari zenu waungwana.mie ni mtaalamu wa maswala ya Umeme,natoa ushauri na pia nafanya izo kazi za Umeme,nafanya wiring na pia narekebisha hitilafu katika nyumba.
Napatikana ilala nipo jengo la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.