Shukrani sana ndugu yangu lucky sabasaba.
Kiukweli kabisa kutoka moyoni, SINA UJUZI NA UTAALAMU wowote wa hivi vifaa.
Na huku niliko ni kijijini hakuna stationary yoyote nitakayoweza kuifanyia sampling.
Kama ingewezekana ungenishauri ni aina gani ya vifaa hivi ni nzuri kwa biashara hii na specification/brands na namba zake ili iwe rahisi kuvitafuta.
Na kama nitafahamu bei zinarange vipi ingenisaidia sana.
Kama bado hujapata ni pm.Ipo Canon IR 1600.Ni nzuri sana na inafaa sana kwa kazi uliyoitaja.Ulizia wataalam watakueleza.
hapana mkuu ir1600 ni mbaya sana hazina speed mie ni fundi mkuu wa hizi mashine nakushauri ununue canon ir 2016,2018,2318,2420 hizi ndo ziko pouwa zina speed fresh
Shukrani sana ndugu yangu lucky sabasaba.
Kiukweli kabisa kutoka moyoni, SINA UJUZI NA UTAALAMU wowote wa hivi vifaa.
Na huku niliko ni kijijini hakuna stationary yoyote nitakayoweza kuifanyia sampling.
Kama ingewezekana ungenishauri ni aina gani ya vifaa hivi ni nzuri kwa biashara hii na specification/brands na namba zake ili iwe rahisi kuvitafuta.
Na kama nitafahamu bei zinarange vipi ingenisaidia sana.
Mkuu sijakuelewa Kwa nn unasema ni MBAYA SANA,wakati Mimi ninaitumia na haijanisumbua kabisa.Na yapo madukahapana mkuu ir1600 ni mbaya sana hazina speed mie ni fundi mkuu wa hizi mashine nakushauri ununue canon ir 2016,2018,2318,2420 hizi ndo ziko pouwa zina speed fresh
Mkuu sijakuelewa Kwa nn unasema ni MBAYA SANA,wakati Mimi ninaitumia na haijanisumbua kabisa.Na yapo maduka mengi nimeyaona yanatumia mashine aina hii hii,Na bei yake ni nzuri tu(1200,000/- ya kawaida na 1600,000/- yenye uwezo wa kuprint)hapana mkuu ir1600 ni mbaya sana hazina speed mie ni fundi mkuu wa hizi mashine nakushauri ununue canon ir 2016,2018,2318,2420 hizi ndo ziko pouwa zina speed fresh
Mkuu sijakuelewa Kwa nn unasema ni MBAYA SANA,wakati Mimi ninaitumia na haijanisumbua kabisa.Na yapo maduka mengi nimeyaona yanatumia mashine aina hii hii,Na bei yake ni nzuri tu(1200,000/- ya kawaida na 1600,000/- yenye uwezo wa kuprint)
Ndo nini hii(duplex)Kwa sababu haina option ya duplex.
Hiyo ndio sababu kubwa iliyonifanya nijiunge hapa JF na kuchana kabisa na fesibuku...Halafu anatokea mtu anasema vijana wa kitanzania hawapendani!!. Bila shaka huyu ndio atakuwa hawapendi vijana wa kitanzania, nimefurahishwa sana na thread hii namna watu walivyo na moyo wa kumshauri mwenzao anayetaka kuanza biashara-go on vijana, mungu atasikia maombi yenu, muendelee na moyo huohuo wa kushauriana na kusaidiana
Wakuu Canon 2420 inauzwa bei gani na inapatikana eneo gani kwa dsm na kigoma