Wanabodi,
Nilikuwa nafuga kuku wa mayai, lakini nimepata dharura inayohitaji fedha na hivyo kushindwa kumudu kuwalisha kuku hao wapatao 280 ambao hivi sasa wana miezi mitano na siku yoyote...
Nauza Toyota Brevis namba T 377 DBU)
CC 2500 rangi ya Silver
Imetembea KM 85,000
Haijawahi kupata ajali yoyote na ipo Dar es Salaam
Bei Tsh Ml. 9,7000,000
0654 998326
wasalaam wakuu,
chumba maeneo tajwa hapo juu"
ni vema mpangaji akawa bachelor/au hata student kulingana na masharti ya mwenye nyumba wakuu"
kwa mawasiliano
0653918931
Naombeni msaada,mimi nina king'amzi cha continental na tv ya rising flat screen pamoja na ya kichogo.
Bahati mbaya tv ya rising haitoi sauti nikiunganisha tena hata nikiweka flash bado shida ni...
Wadau kuna Kiwanja kina nyumba kinauzwa, eneo ni Kitunda karibu na Chama cha Biblia 2.5km kutoka Kitunda Relini, Banana, I. Eneo ni kubwa, ni feet 23*23 . Bei ni tsh mil 28 kipo barabarani...
gari ni toyota land cruiser GX, naiuza ikiwa haina shida yoyote
gear manual
4wd
model ya mwaka 1992
H1z engine
4200 cc
Bei yake ni milioni 10,maelewano kidogo yapo
note:unaweza kulipa kwa...
mita 20*30 Vipo Mapinga km 2 Kutoka barabara ya lami iendayo Bagamoyo Vipo viwili unaweza kuvinunua vyote ukaviunganisha. bei Tsh 6m.
contact: 0765 178 494
Nauza kiwanja maeneo ya dege Kigamboni jiran na magorofa ya NSSF....hakijapimwa ila kina mita kama 28*25. Kipo jiran kabisa na barabara. Kwa mwenye kuhitaji tuchekiane 0713806766. Bei ni milion 5...
Habari msomaji!
Natafuta kanga jike 3-5 wa kufuga. Niko maeneo ya DSM. Yeyote atakaye kuwa nao kuanzia saizi ya kati hadi wakubwa aniPM au ajibu hapa.
Nahitaji majike tu!
Habari wana Board,
Ninauza kiwanja changu chenye ukubwa wa NUSU HEKA. Kipo Mbullu nyuma ya kanisa katoliki, kimepimwa na kina offer. Bei ni Tsh 5,000,000/=.
Mwenye kukihitaji apige simu namba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.