Eneo lina ukubwa wa eka 5 ni zuri kwa ujenzi wa shule, kiwanda, na nyumba za kuishi. Ukihitaji kwa tunapima.
Pembeni kuna shule na inapita barabara kubwa.
Lipo mwasonga.
Eka 5. Sh 50,000,000/=...
ITEM SPECIFICATION
Brandy: HP NOTEBOOKS
System Model: Elitebook 6930b,Probook 6455b,Compaq 6530b
Condition: Used
Other specification: Procesor intel core 2 Duo 2.4Ghz, RAM 2GB,HDD...
Habari za muda wakuu,
Nauza nondo za Tanzania kwa bei ya jumla (machale na plain).
Urefu na unene vimetimia.
Nondo kuanzia mm 10 mpaka mm 20 ,bei Tsh 1,285,000/=
Order kuanzia tani 5.
Kwa...
hp 635 for sell 350,000 maelewano yapo
hdd 350, ram 2g b, webcam, AMD - E 450 APU with Radeon HB Graphics 1.65 Hhz 32bit, ina kaa na charge zaid ya masaa 3
check me through 0719210905
Kiwanja kinauzwa Kimara Suka maeneo ya Golani millioni 16 kuna vyumba viwili choo na jiko vimeishia kwenye rental, kalo la choo lipo tayari maongezi yapo kwa anaye hitaji.huduma ya maji na umeme...
Km 90000
Cc 1500
Rangi ya silver
Reg # C
Bei 8.8mln bei ya mwisho kuuza 8.5mln!gari iko vizuri haidaiwi vibali vyoo yote,engen iko safi sana,kwa mnunuzi ambaye ni serious tuwasiliane 0715591141...
Habari wandugu, Nyumba mbili zinapangishwa. Moja sh 350,000 kwa mwezi na nyingine sh 300,000 kwa mwezi. Kodi inatakiwa ya miezi sita. Nyumba zote zina vyumba viwili vya kulala (kimoja masta)...
nauza s4 used black in colour ..imetumika nje..imebaki moja almost new haina mchubuko hata mmoja..
internal 16gb
ram-2gb
camera-13mpx
bei 380000(380k)
maelewano yapo...
nichek no. 0659116111
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.