Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

habari za jioni wadau!! naomba msaada kwa mtu ajue soko la chengachenga ndogo za green toumaline hasa kenya ambapo nmepata tetesi kua ilo soko lipo. ila kwa Tanzania wanaitaji sana ya chekecho...
0 Reactions
0 Replies
800 Views
Je unahitaji ushauri kuhusiana na tafiti za kielemu (academic) kuanzia ngazi ya diploma, degree na masters na zisizo za kielimu? Tafadhali wasiliana nasi. Gharama zetu za ushauri zinaanzia...
0 Reactions
1 Replies
925 Views
Hello wana jamii wenzangu, Poleni na pilika. Jamani na Tafuta Toyota Vitz ya kununua ambayo bado iko kwenye good running condition.. asanteni.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari wanajamvi! Natafatuta jaw crusher yenye uwezo wa kusaga kati ya tani tano (5) mpaka ishirini (20) za mawe kwa siku. Hii ni kwa matumizi ya mchimbaji mdogo. Kama unayo au msaaada wa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kampuni ya CPM Business Consultants ni kampuni inayojishughulisha na kutoa ushauri wa biashara kwa wajasiriamali, imeanzisha jarida lake ambalo litatoa habari mbali mbali za kampuni kupitia...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
wakuu cm natumia mwenyewe haina tatizo lolote na sababu ya kuiuza nahitaj kubadili cm,cm yangu galaxy s4 ina android version 5.0.1,ina internal memory 32GB,kama unaswali lolote usisite niulize...
0 Reactions
3 Replies
900 Views
Brandnew Galaxy Note 3 for sale Full boxed White colour Free Cover Price 550,000 Contact 0784780955
0 Reactions
0 Replies
740 Views
Nauza maziwa kama ifuatavyo: Fresh lita tsh 1500. Mtindi lita tsh 2000. Nauza kuanzia lita 5 na kuendelea. Yanapatikana siku za Ijumaa, jumamosi na jumapili. Ukihitaji ni pm tufanye biashara
0 Reactions
28 Replies
7K Views
Make : Toyota Year :1998 Condition : Good Price : Tzs 12,000,000 Call: 0789 496898
0 Reactions
3 Replies
2K Views
RAm za 2GB zinauzwa. Bei elfu 20 tu. Kama unataka niPM napatikana Gongo la mboto,Dar es salaam
0 Reactions
17 Replies
3K Views
jaman ivi hi simu mpya ya nokia lumia 520 ya WP 8 naweza pata kwa bei gani???
0 Reactions
13 Replies
10K Views
Tunatoa huduma za: - kuandika katiba za makampuni na NGOs -kuandika Business plans -kuandika company & NGO profiles n.k Email: hoseabenjamin88@gmail.com simu: 0752238263
0 Reactions
0 Replies
1K Views
IST ambayo bado ipo Kwenye hari nzuri inatafutwa offer 7m-7.5m kama unayo ni PM
0 Reactions
8 Replies
2K Views
ISIWE NA UNSOLVED ISSUE TUWASILIANE
0 Reactions
2 Replies
768 Views
Jaman mwenye idea za bei za mashine za kuoshea magari anisaidie. Pia kama una uzoefu na hiyo biashara share pliiiiiz
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Nyumba hii.ina uzwa ina miaka ina vyumba vitano ukitoa ukumbi na jiko ina mjengo wakupangisha vikiwemo vyumba vya nje na vya ndani kisima na vyo vya nje na vya ndani asante. Tsh 95m. Asanrte
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Habari wanajamii Kwa wale wenye uhitaji wa website ama blog suluhisho ni hapa.. Nipatie kazi nikukabidhi ndani ya wiki moja ikiwa katika viwango na ubora wa kimataifa.. Kwa mawasiliano Website...
0 Reactions
3 Replies
959 Views
Nyumba inauzwa maeneo ya Lash Garden kwa nyuma kama unapandia hii njia ya kwenda ST PATRICK TRUST SCHOOL.Ina bedrooms 4, tatu ni Master ,ina sitting room, kitchen, dinning room, library. Na ina...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Shirika la ndege la Etihad limetajwa kuwa Shirika la Ndege la Mwaka wakati wa tuzo za Business Travel 2016. Hafla hii ilifanyika jana usiku katika hoteli ya Grosvenor House iliyopo Jijini London...
0 Reactions
0 Replies
707 Views
Natafuta friji dogo la mlango mmoja used kwa bei nafuu Kama unalo nichek
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom