Top 4 na base 2 pamoja na rec yake naiuza iko complete...sijautumia Sana na vifaa vyote vino ktk hali nzuri Sana..
Bei t
Yake ni million 7,fursa kwa wale wanaotaka na kujua biashara ya ukodishaji...
Wadau
Nahitaji kununua maharage kwa wingi kwa biashara endelevu hasa toka mikoa ya Mbeya ,Arusha,Ruvuma ,hasa kutoka kwa wanaolima mashamba makubwa , kama uko serious ni pm ,au piga namba...
Kiwanja kinauzwa maeneo ya Mbande mwembe bamia, temeke Dar es salaam. Milioni 11. Kinafaa kwa flemu kwa kuwa kiko karibu na barabara ya mtaa au unaweza jenga na nyumba. Ni kilomita karibia na moja...
kwa anayehitaji kununua asali ya nyuki wakubwa, tunauza kwa jumla sh 220,000 kwa dumu la lita 20. Yapo madumu zaidi ya 50 kama utahitaji nyingi. Kwa wanaotaka kujiongezea kipato wanaweza kununua...
Habari za leo?
Kuna nyumba inapangisha vyumba viwili vya kulala,utashea jiko na bafu na choo na familia nyingine moja.
Vyumba vipo maeneo ya Tanesco,Tanga mjini.
Bei ni 90,000/= kwa mwezi kwa...
Tunatoa huduma zifuatazo:
1. Tunaandika katiba za Makampuni na NGOs
2. Tunaandika Business plans za biashara, makampuni na NGOs
3. Tunaandika Memorandum and Articles of Association za makampuni...
Wakuu tunasambaza vifaa vya ujenzi kwa bei nzuri pamoja na kukuletea hadi site kwako kwa maeneo yote ya pwani na dsm.
Tunauza vifaa kama
Rangi aina zote, gypsum powder, white cement, mikanda ya...
COMBINE HARVESTER INAUNZWA
tunauza mashine ya kuvunia nafaka tofauti (COMBINE HARVESTER) ipo imara sana na inafaa sana kwa mazingira ya hapa kwetu inaweza kuishi mda mrefu na ni simple sana...
Nimefanikiwa kufungua kampuni ya clearing and forwarding na inashughulika na clearance ya mizigo yote inayoingia na inayotoka (import and export) bandarini kwa gharama inayoendana na hitaji la...
Kitanda cha 6*6 cha mninga kinauzwa , kipo kwenye hali nzuri.
Kimetumika mwaka na nusu.
Kipo na Chaga zake(Pia chaga zake ni mninga).
Muuzaji anahitaji hela ya haraka.
-0684 14 14 76
Kipo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.