Habari,
Nauza kiwanja kipo Korogwe mjini maeneo ya kwam'mbo karibu kabisa na magunga hospitali, kiwanja kina msingi wa mawe vyumba vinne na michungwa kadhaa, kina ukubwa wa robo heka bei tsh 2.7...
Wakuu natumaini mu-wazima,
Nahitaji kununua used mables kwa ajili ya "viji-ujenzi" vyangu hapa mjini Arusha. Kama unazo au unafahamu wapi naweza kupata, tafadhali nijuze.
Plot at Kitunda Magore kwa Mpemba. Sehemu imetulia. Viwanja vimepimwa kienyeji kwa kuzingatia miundo mbinu yote especially barabara zenye upana wa 5Meters.
Vyote kwa pamoja vina ujazo wa 30 X...
Specs; iSO 7.1, 16 Gigs, Black color, clean unlocked IMIE and open iCloud.
A few scuffs on the front screen, like new on the back.
Offer: Tsh 250,000/-
PM for contact!
Habari wakuu,
Natafuta Chumba chenye umeme na dari maeneo ya mbagala Kuu, butcher, mgeni nani na neluka na maeneo ya karib yenye utulivu. Budget range ni 25k to 35k per month.thanks!
Nyumba inapangishwa Tabata Bima... ni kubwa ya familia...
1: Room 4, moja master
2: Ina fence, umeme na maji, geti linahitaji marekebisho madogo ..pia rangi ya ndani itarudiwa...
3: Usalama wa...
Habari zenu wote.
Mganga wa mapenzi anahitajika haraka kutoa msaada kwa jahazi linalozama katika mahusiano yangu na mchumba wangu. Mchumba wangu kabadilika ghafla kiasi kwamba hataki hata kuniona...
Wana jf, nauza viwanja.
sifa zake
1. vimepimwa na vina hati miliki ya serikali kuu.
2.via ukubwa kuanzia sq. 900 hadi 1300
3.vipo msongola manispaa ya ilala hapa Dar es salaam
4.mawasiliano 0769...
Nauza Sony Xperia z3 orignal ipo katika hali nzuri kabisa haina mikwaruzo Wala tatizo lolote bado mpya nimetumia 3moth only bei 700,000 /=
Kwa anae taka anicheki
0759733603
Na attach picha
Samsung s4 mpya inauzwa
Full accessories(earphone + charg )
Bei 350,000
Wasiliana nami kupitia 0758728258,0718327776
Pia tunapokea order za cm aina nyingine
Vipo Kigamboni/Lugwadu. Heka mbili (approx) zote ziko barabarani. Moja 10M na nyingine ni 8M. Ukitaka ukatiwe plot ndogo tutakukatia robo kwa 3M (itakuwa around 1225SQM).
Nipigie kwa maelezo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.