Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari, Nauza kiwanja kipo Korogwe mjini maeneo ya kwam'mbo karibu kabisa na magunga hospitali, kiwanja kina msingi wa mawe vyumba vinne na michungwa kadhaa, kina ukubwa wa robo heka bei tsh 2.7...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu natumaini mu-wazima, Nahitaji kununua used mables kwa ajili ya "viji-ujenzi" vyangu hapa mjini Arusha. Kama unazo au unafahamu wapi naweza kupata, tafadhali nijuze.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Plot at Kitunda Magore kwa Mpemba. Sehemu imetulia. Viwanja vimepimwa kienyeji kwa kuzingatia miundo mbinu yote especially barabara zenye upana wa 5Meters. Vyote kwa pamoja vina ujazo wa 30 X...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Specs; iSO 7.1, 16 Gigs, Black color, clean unlocked IMIE and open iCloud. A few scuffs on the front screen, like new on the back. Offer: Tsh 250,000/- PM for contact!
0 Reactions
0 Replies
647 Views
Habari wakuu, Natafuta Chumba chenye umeme na dari maeneo ya mbagala Kuu, butcher, mgeni nani na neluka na maeneo ya karib yenye utulivu. Budget range ni 25k to 35k per month.thanks!
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Viwanja vinauzwa bomangombe hai mini Vipo sehemu nzuri za makazi Bei maelewano Tuma SMS kwa 0768807475 Text viwanja utapigiwa kwenda kukagua
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nyumba inapangishwa Tabata Bima... ni kubwa ya familia... 1: Room 4, moja master 2: Ina fence, umeme na maji, geti linahitaji marekebisho madogo ..pia rangi ya ndani itarudiwa... 3: Usalama wa...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Naombeni msaada natafuta tairi Za Michellin 445/80 R 25 Very urgent, nimewacheki BinSlum na Superdoll naona hawana Please mail 255786485243
0 Reactions
0 Replies
837 Views
Nauza Bajaji Piaggio APE,imetumika mwaka mmoja,bado iko vizuri sana.Serious buyer anicheck
0 Reactions
1 Replies
1K Views
habari wadau Yeyote mwenye expeience na aina hii ya gari naomba unisaidie pro and cons zake Asanteni sana
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari zenu wote. Mganga wa mapenzi anahitajika haraka kutoa msaada kwa jahazi linalozama katika mahusiano yangu na mchumba wangu. Mchumba wangu kabadilika ghafla kiasi kwamba hataki hata kuniona...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Huawei P8..Brand New Comes with protector and cover Price; tsh.700,000/=(negotiable) Call/Text ; 0653284788
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nauza htc one m7 bado mpya Full accessories (earphone + charg) Bei 350,000 Tuwasiliane kupitia 0758728258,0718327776
0 Reactions
3 Replies
833 Views
Wana jf, nauza viwanja. sifa zake 1. vimepimwa na vina hati miliki ya serikali kuu. 2.via ukubwa kuanzia sq. 900 hadi 1300 3.vipo msongola manispaa ya ilala hapa Dar es salaam 4.mawasiliano 0769...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Happy new year Nahitaji suplier wa kuku 2000 kwa wiki only serious people ni pm for further discussion
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nauza Sony Xperia z3 orignal ipo katika hali nzuri kabisa haina mikwaruzo Wala tatizo lolote bado mpya nimetumia 3moth only bei 700,000 /= Kwa anae taka anicheki 0759733603 Na attach picha
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Samsung s4 mpya inauzwa Full accessories(earphone + charg ) Bei 350,000 Wasiliana nami kupitia 0758728258,0718327776 Pia tunapokea order za cm aina nyingine
0 Reactions
0 Replies
740 Views
Vipo Kigamboni/Lugwadu. Heka mbili (approx) zote ziko barabarani. Moja 10M na nyingine ni 8M. Ukitaka ukatiwe plot ndogo tutakukatia robo kwa 3M (itakuwa around 1225SQM). Nipigie kwa maelezo...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Iwe na namba D kilometa zisizidi 80,000KM, bajeti milioni 9.5. Kama unayo njoo PM tumalize biashara
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Back
Top Bottom