Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Tafadhali wadau, nayatafuta malimao popote yanapopatikana, kama huko ulipo yanapatikana kwa wingi tuwasiliane
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Mwenye tablet(used) aina ya SUMSANG kama anauza tuwasiliane!!.kwa haraka.
0 Reactions
0 Replies
987 Views
Wakuu katika kuperuzi tradecarview nikakutana na seller walioko singapore. Nikavutiwa na gharama zao maana inaonesha gharama za usafiri ni ndogo sana na hivyo CIF ni ndogo ikilinganishwa na gari...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Ndugu wana JF Natoa fursa ingine ya ajira kwa watanzania wenzangu Medical Doctor anahitajika, Mahali pa kazi ,,,,DAR ES SALAAM KAMA UNAPATIKANA TUWASILAIANE 0764 763 427 ASANTENI.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Ili kuepukana na kimbunga cha bomoa bomoa za kila siku, nunua shamba sehemu ya uhakika na Salama. Nina shamba linauzwa kuanzia heka 1 hadi 15 eneo la Kidomole umbali wa kilometa 14 tu toka...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari yenu wakuu, Kuna nyumba inauzwa, Kipo Msingwa Shule Mbezi ya Kimara Dar es saam. Kiwanja kina ukubwa wa 23 kwa 13. Bei ya nyumba ni Mil 30 (millioni thelathini). Kwa maelewano zaidi...
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Kiwanja kinauzwa, Squire meter 50 x 20, KINYEREZI BONYOKWA... Karibuni!... 0682169798
0 Reactions
2 Replies
1K Views
MJN ni wauzaji wa Vitenge na Viatu vya kike kwa bei ya jumla pia kwa kushirikiana na JITA mobile school wanatoa mafunzo ya ujasiriamali kama kutengeneza batiki na sabuni za aina zote mafuta...
0 Reactions
4 Replies
7K Views
Karibuni Bata Mzinga wakubwa, majike wanataga na madume wanapanda, jike laki 1 dume 90. MAWASILIAN0 0682169798 Na picha hizo....
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nyumba 3 zinauzwa kila moja milioni mia tatu(tshs300,000,000/=) majadiliano yapo. Nyumba ya kwanza ipo Kijitonyama karibu kabisa na ustawi wa jamii na hongera bar. Nyumba ya pili ipo Kijitonyama...
0 Reactions
0 Replies
753 Views
Habari wadau. Nahitaji nyumba Sinza tu. Ofa yangu milioni 150. Nitumie ujumbe pm kama ipo kwa mwenye taarifa.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Tuna bidhaa inayoondoa michilizi mwilini kama mapajani, makwapani, tumbo na sehemu zingine za mwili wasiliana nasi 0757034982.
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Inatakiwa hiace(3l) iwe imefanya kazi at most 6 months...mwenye nayo ani pm pics and offer yake
0 Reactions
2 Replies
878 Views
Tafadhali mwenye kuweza kunipatia chumba seif contained maeneo ya temeke
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari zenu jukwaani: Kampuni ya TANGAZA MARKETING SOLUTIONS: Inapenda kuwangazia wenye mahitaji Tv ya LG na Music system yake vinauzwa bei poa kabisa Tshs 3,000,000/=
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mashine za fast food zinapatika oven ya gas , mashine ya kupondea unga , juice , ya miwa mm nione kwa mabwana@gmail.com
1 Reactions
0 Replies
5K Views
Natengeneza blog kwa bei nafuu Sana kwa 15,000 tuu.kama upo serious nicheki 0716385824
0 Reactions
0 Replies
778 Views
a
0 Reactions
0 Replies
767 Views
Habar wakuu. Nahitaji mchele mzuri wa mbeya kwaajili ya biashara ya mtaani. 0779420000 nipo temeke dar. Kiasi hadi 1000kg.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
natafuta printer ambayo ina uwezo wa kutoa picha za rangi
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom