Wakuu katika kuperuzi tradecarview nikakutana na seller walioko singapore. Nikavutiwa na gharama zao maana inaonesha gharama za usafiri ni ndogo sana na hivyo CIF ni ndogo ikilinganishwa na gari...
Ndugu wana JF
Natoa fursa ingine ya ajira kwa watanzania wenzangu
Medical Doctor anahitajika,
Mahali pa kazi ,,,,DAR ES SALAAM
KAMA UNAPATIKANA TUWASILAIANE 0764 763 427
ASANTENI.
Ili kuepukana na kimbunga cha bomoa bomoa za kila siku, nunua shamba sehemu ya uhakika na Salama.
Nina shamba linauzwa kuanzia heka 1 hadi 15 eneo la Kidomole umbali wa kilometa 14 tu toka...
Habari yenu wakuu,
Kuna nyumba inauzwa, Kipo Msingwa Shule Mbezi ya Kimara Dar es saam.
Kiwanja kina ukubwa wa 23 kwa 13.
Bei ya nyumba ni Mil 30 (millioni thelathini).
Kwa maelewano zaidi...
MJN ni wauzaji wa Vitenge na Viatu vya kike kwa bei ya jumla pia kwa kushirikiana na JITA mobile school wanatoa mafunzo ya ujasiriamali kama kutengeneza batiki na sabuni za aina zote mafuta...
Nyumba 3 zinauzwa kila moja milioni mia tatu(tshs300,000,000/=) majadiliano yapo.
Nyumba ya kwanza ipo Kijitonyama karibu kabisa na ustawi wa jamii na hongera bar.
Nyumba ya pili ipo Kijitonyama...
Habari zenu jukwaani: Kampuni ya
TANGAZA MARKETING SOLUTIONS: Inapenda kuwangazia wenye mahitaji Tv ya LG na Music system yake vinauzwa bei poa kabisa Tshs 3,000,000/=
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.