Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari wandugu, Nyumba mbili zinapangishwa. Moja sh 350,000 kwa mwezi na nyingine sh 300,000 kwa mwezi. Kodi inatakiwa ya miezi sita. Nyumba zote zina vyumba viwili vya kulala (kimoja masta)...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
nauza s4 used black in colour ..imetumika nje..imebaki moja almost new haina mchubuko hata mmoja.. internal 16gb ram-2gb camera-13mpx bei 380000(380k) maelewano yapo... nichek no. 0659116111
0 Reactions
3 Replies
702 Views
Jaman nauza eneo/shamba la ekari kumi lililopo mapinga bagamoyo na kwakila eka moja ni sh mil 7.5 na umbali toka barabara ya lami ni kilomita moja tuu na bei inapungua.. kwa mawasiliano ni 0742864583
0 Reactions
4 Replies
932 Views
Habari za leo wana Jamii Forum, ninaleta kwenu dawa ya kupunguza uzito/kutoa kitambi inayoitwa 'Bi Sheng Yuan'. Dawa hii inakuja kwenye pakiti yenye 'tea bags' 25 ambayo unatakiwa kunywa mara...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wakuu, heri ya mwaka mpya Nipo ktk kutafuta gari ndogo ya kutembelea. luxury but fuel efficient na iliyo ngumu. Baada ya kusearch kwa muda na kupitia review ya gari mbalimbali kama mark II grande...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Mafunzo haya ni ya wiki moja ambayo yanaendeshwa na kusimamiwa na Tanzania Youth Entrepreneurship and Empowerment Organization yenye usajili namba 00NGO/00006706. Lengo la mafunzo haya ni...
0 Reactions
0 Replies
8K Views
Nina mbuzi wakubwa wa kienyeji, kwa ambaye anahitaji tuwasiliane pm, wapo wa supu na wa mafuta. kama una order ya mbuzi wengi au mmoja mmoja pia tuwasiliane. mbuzi nilionao wanatoka mkoa wa...
1 Reactions
1 Replies
3K Views
Mashine ya kupigia tofali na vibao vyake viko 500 inauzwa, inatoa tofali moja la 5.5", ina mwezi mmoja tangu inunuliwe na imefanya kazi mara mbili tu. Bei 885,000 Neg. niPM tufanye biashara
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Ni nyumba kubwa ya vyumba 3, dinning, sitting kubwa,uwa mpana,fence na geti,eneo limepimwa iko jiran na Nganza secondary hapa nyegezi Mwanza anaehitaji bei ni milion 45 tuwasiliane kwa 0788752672
0 Reactions
2 Replies
3K Views
we prepare books of accounts, financial statements, VAT returns and business plans. call 0672 259 395 or 0782 237 212
1 Reactions
1 Replies
958 Views
Lipo kisemvule ni ekari 36 karibu na kiwanda cha cement cha rhino lipo mita chache from main road inayokwenda mkuranga interested buyer unakatibishwa just PM
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kiwanja kina ft65 kwa ft95. Bei naanzia 8m. Karibuni.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari ya leo waungwana. Natumaini wote mu wazima wa afya na mko poa katika kusukuma maendeleo ya Taifa letu pendwa Tanzania. Bila kuchoshana. Kama tunavofahamu kumekuwa na ongezeko kubwa sana...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kampuni ya Edmark kutoka Malaysia inamakao makuu Masaki Dar es salaam Tanzania.Inajihusisha na uuzaji wa bidhaa za afya (food supplement) ambazo ni asili na zimethibitisha na TFDA. Kampuni inatoa...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Jifunze computer application na utafatwa mahali ulipo na itaendeshwa katika siku za week end! charges zetu ni bei nafuu! +255719909267
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari, Nauza kiwanja kipo Korogwe mjini maeneo ya kwam'mbo karibu kabisa na magunga hospitali, kiwanja kina msingi wa mawe vyumba vinne na michungwa kadhaa, kina ukubwa wa robo heka bei tsh 2.7...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu natumaini mu-wazima, Nahitaji kununua used mables kwa ajili ya "viji-ujenzi" vyangu hapa mjini Arusha. Kama unazo au unafahamu wapi naweza kupata, tafadhali nijuze.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Plot at Kitunda Magore kwa Mpemba. Sehemu imetulia. Viwanja vimepimwa kienyeji kwa kuzingatia miundo mbinu yote especially barabara zenye upana wa 5Meters. Vyote kwa pamoja vina ujazo wa 30 X...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Specs; iSO 7.1, 16 Gigs, Black color, clean unlocked IMIE and open iCloud. A few scuffs on the front screen, like new on the back. Offer: Tsh 250,000/- PM for contact!
0 Reactions
0 Replies
647 Views
Back
Top Bottom