Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

tunauza pc 20 za milango ya security doors ya chuma, hauitaji kununua milango ya chuma na mbao pamoja,Ni milango ya kisasa zaidi ,na mizuri sana, kwa mawasiliano contact whatsaap 0713 95 92 90 or...
0 Reactions
25 Replies
27K Views
Convertible Laptop 512GB SSD 8GB RAM Core i7 5th Gen 13 ins. Screen Backlit Keyboard "Yoga" style hinge Aluminium body Windows 10 Excellent condition Price: TShs. 1,500,000 Call 0759 777194
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kiwanja kinauzwa Mbezi beach block F. kina sqmt 930. Hati ipo. Price Tsh 200m (Negotiable) Contact: 0765 178 494
0 Reactions
0 Replies
828 Views
Kiwanja kinauzwa Mbweni JKT sqmt 1550. Hati ipo. Umbali wa mita 400 tu kutoka Baharini. Price Tshs 100m. (Negotiable) Contact: 0765 178 494.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa Tsh 9,900/-Joto sio tatizo tena,kiyoyozi kiganjani mwako;Feni unayoweza ichomeka katika simu yako na ikakupepea.Mawasiliano:0688304874
0 Reactions
1 Replies
1K Views
habari wa JF leo nimekuja na biashara nauza blog yangu adress yake ni hii www.swahili-news.com imetembelewa na watu zaidi ya 25000 bei ni poa Tsh 45000 imeshatengenezwa muonekano bomba wasiliana...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kwa Tsh 9,900/-Joto sio tatizo tena,kiyoyozi kiganjani mwako;Feni unayoweza ichomeka katika simu yako na ikakupepea.Mawasiliano:0688304874
0 Reactions
1 Replies
1K Views
habari zenu wakuu, nauza shamba langu lipo Kisarawe katika kijiji cha Kisanga, lina Ekari 8. Lina rutuba ya kutosha kwani cjalilima muda mrefu. Walioseriously wanicheki 0714888689.
0 Reactions
13 Replies
2K Views
IWE AUTOMATIC KAMA UNAYO NICHECK KWA NAMBA 0658578715 ,TAFADHARI NATAKA MTU AWE SERIOUS SIO GARI ZA WIZI.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Hello guys, Tafadhari kuweni makini Sana, kuna jamaa hua ana post bidhaa za Electronics kama Laptops na Mobile phone's za aina tofauti tofauti na kutangaza kuziuza kwa bei chee. Anasema yupo hua...
0 Reactions
21 Replies
5K Views
....mwenye kufahamu bei za mabasi aina ya yutong atupatie maelezo.
0 Reactions
9 Replies
3K Views
habar wadau!! nahtaj smartphone nina lak moja km unayo tuwasliane apo 0673959426 npo dar
0 Reactions
3 Replies
703 Views
Habari yenu JF members, Tunatafuta wateja wa jumla wa samaki wabichi aina ya sato na sangara kutoka Mwanza. Sangara wanaukubwa wa kuanzia 50cm na Sato 25cm.Sangara 1kg pamoja na usafiri Tshs 6000...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
wadau ninauza automatic change over switch ya generator yenye dimensions zifuatazo height:60cm,width:50cm,length:20cm specification za umeme: current:125A voltage:220VAC~380VAC contactor...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Nyumba ni ya Vyumba vitatu, Kimoja master, Jiko pia lipo.. maji yapo ya kutosha na tank kubwa za maji, maji mpaka ndani, uzio mzuri na parking ya kutosha bei ni 650,000 kwa mwezi, wasiliana nami...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Vifaa vya bakery used vinauzwa almost vifaa vyôte vya bakery vimetimia Oven Mikate 60 Kwa mara moja. 2,700,000/= Iven mikate 225 linahitaji...
2 Reactions
13 Replies
6K Views
Nipo Arusha kwa mwenye ako nayo anitafute kwenye namba 0757191544 au 0655191544.
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Habari zenu wana jamii forum? Kwa wale wapenzi wote wa Riwaya za marehemu BEN R. MTOBWA, tayari mzigo wa MTAMBO WA MAUTI & TUTARUDI NA ROHO ZETU? UPO TAYARI. Kwa sasa, vinapatikana vitabu aina...
3 Reactions
35 Replies
5K Views
Ndugu wateja karibuni kwa tofali BORA NA IMARA za kokoto nyeusi za Msolwa. Zimetengenezwa kwa FORMULA maalum kuhakiki UBORA, kokoto ngumu, cement bora, maji yasio na chumvi, artificial hardeners...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…