Mizigo ya transit natafuta wenye magari

Mizigo ya transit natafuta wenye magari

MUST

Senior Member
Joined
Mar 11, 2012
Posts
108
Reaction score
76
Wakuu kwenda. Kuna jamaa yangu amenipa tenda ya kusfirisha mizigo Mingi ya kwenda Congo Rwanda Zambia. Pia Nina mizigo ya local Mingi tu. Kwa atakayehitaji kazi Tume email kwenda raiatz@yahoo.com au anipm
 
Napata Shaka Na Hii Taarifa / Uzi Wako!!! KAMA Ni Serious Issues Mkuu!! NADHANI Ungeweka No Zako Tu Kwanza, Ili WADAU Tuchonge Nawe Faster! KUNA Gari Za Kutosha Na Za Ukweli!! KAMA Unaona Ngumu Nifuate PM Mkuu!!
 
serious unahitaji huduma ya transport kwa hizo mizigo?
 
Kaka tuma email Kama nilivyoelekeza. Wasiwasi wa nini na hutaki fiats procedure. Send me an email
serious unahitaji huduma ya transport kwa hizo mizigo?
hma
 
Utapeli wa wazi huu

Duc in Altum
 
Napata Shaka Na Hii Taarifa / Uzi Wako!!! KAMA Ni Serious Issues Mkuu!! NADHANI Ungeweka No Zako Tu Kwanza, Ili WADAU Tuchonge Nawe Faster! KUNA Gari Za Kutosha Na Za Ukweli!! KAMA Unaona Ngumu Nifuate PM Mkuu!!
Nawe pia ungefanya hivyo hivyo.
 
Back
Top Bottom