Wakuu kwenda. Kuna jamaa yangu amenipa tenda ya kusfirisha mizigo Mingi ya kwenda Congo Rwanda Zambia. Pia Nina mizigo ya local Mingi tu. Kwa atakayehitaji kazi Tume email kwenda raiatz@yahoo.com au anipm
hmaserious unahitaji huduma ya transport kwa hizo mizigo?
oUtapeli wa wazi huu
Duc in Altum
Nawe pia ungefanya hivyo hivyo.Napata Shaka Na Hii Taarifa / Uzi Wako!!! KAMA Ni Serious Issues Mkuu!! NADHANI Ungeweka No Zako Tu Kwanza, Ili WADAU Tuchonge Nawe Faster! KUNA Gari Za Kutosha Na Za Ukweli!! KAMA Unaona Ngumu Nifuate PM Mkuu!!