Pata Android Tablet mpya kabisa kwa bei ya Promotion with IMEI number(Epuka Kusumbuliwa/kufungiwa na TCRA)
Features:
- Buit-in 3G with 2 sim cards(Supports phone calling)
-8GB ROM (install &...
Wadau nahitaji bango la biashara liwe lenye taa kwa ndani. inamaana wakati wa usiku linawaka. kwa yeyote anaejua ni wapi wanatengeneza anijuze. pia nitapenda kujua bei ya bango la urefu wa 150cm...
Kama tangazo linavo jieleza, kwayeyote mwenye anacho icho kifaa, maalum kwaajili yaku detect, madini tofauti tofauti awasiliane na Mimi kwenye namba 0653005366.
Iphone 6s 64 gb rangi ya silver imetumika miezi miwili ipo kwenye box yake kasoro headphone imepotea inatakiwa 1.5m mwenye kuhitaji anipigie 0774439364
Pata kiwanjwa kilichopimwa haraka bei rahisi vipo karibu na mradi wa selikali wa mapinga new CITY..ni mwendo wa kutembea tu hadi baharini.. nunua upatiwe hati kupitia jina lako moja kwa moja..
Bei...
Nauza Viwanja vilivyo pimwa Kigamboni nyuma ya utumishi housing mwongozo, Sqm 800 kwa million 16 na sqm 825 kwa million 20 location tofauti.karibuni sana mawasiliano 0712545474
Ina vyumba viwili vya kulala kimojawapo kikiwa self contained, sebule, jiko, store na uzio. Nyumba ipo mita chache kutoka barabara ya lami. Kodi sh 450,000 kwa mwezi. Kuiona piga simu 0784225000
natumai hamjambo wana jamvi
kikubwa ni kukuomben kuninasua katika hiki kimtego cha mwenye nyumba maana tangu mwezi huu uingie ni kubisha hodi tu..kufuata kod yake, na mambo y matatizo anadai yapo...
Culture Shoes nzuri na imara kwa jumla tu kuanzia piece 10, vya kiume 16000 na vya kike vilivyowazi 14000 vyenye mkanda nyuma 15000...pm kwa maelezo zaid
Mkuu nimepata sms yako kwachitaji la nyumba ,nyumba zipo najua umenitafuta whatsApp umenikosa ukaamua kutuma sms ya kawaida, nimejaribu kureply kawaida imekataa naomba unicheki kwa whatsApp...
Ajira
kwa anaweza Tuuh
nataka mtu aniandikie makala 4 tuuh maalum
topic ninayo kichwani kwa lugha ya english na swahili tuuh.
malipo yangu ni dollar $5 kwa kuandika.
malipo ya $5 kufanya...
kwa anahitaji tiles na vyoo vya kila aina kwa ajili ya ujenzi au biashara kwa bei ya chini kabisa kutoka kiwandani moja kwa moja wasiliana na mimi..0766407555..
Dalali-Arusha real estate and marketing
properties.
Tupo kwa ajili yako kukupatia:
(i) Viwanja vya uhakika
(ii) Nyumba za uhakika
(iii) Wachimbaji Visima Ndani na nje ya jiji la Arusha...
Instagoods moving shop ni wauzaji wa viatu vizuri na vigumu vya kiume.. Viatu hivi vimetengenezwa kwa material tatu tofaut, juu vina material ya rubber na soft leather na soli yake ni material...
Pata kiwanjwa kilichopimwa haraka bei rahisi vipo karibu na mradi wa selikali wa mapinga new CITY..ni mwendo wa kutembea tu hadi baharini.. nunua upatiwe hati kupitia jina lako moja kwa moja..
Bei...
Tecno ila iwe C8, Sony, Samsung, Xiamo, lg
Ziwe original tafadhari na ziwe hazijatumika zaidi ya mwezi mmoja
Specs
screen inch 5 na kuendelea juu
Battery mAh 2600 na kuendelea
internal 1gb na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.