Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Kama habari inavyojieleza ......imetumika miezi miwili tuu....sifa ni hizi hapa ina ukubwa wa 8inches. RAM1.5GB,16GB HDD ni white na condition haina tofauti na mpya.Price ni 500000/= njoo tufanye...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
2GB ram 16internal storage Price 250000
0 Reactions
6 Replies
948 Views
Jaman wana jamvi naombeni msaada, nina tv ya nchi 52 led sumsung imepata tatizo la kutoonyesha vizuri wapi naweza pata fundi wa kunirekebishia
0 Reactions
15 Replies
4K Views
Vyote chukua kwa million 1 na nusu! Location:dar Mob:0718295182
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mwenye gari ndogo saloon ya kukodi pls PM
0 Reactions
1 Replies
1K Views
salaam nimefanikiwa kuandika kitabu chenye jina "akipatikana nafuu" lakini sikuweza kufanikisha kukiendeleza, taratibu za awali za kukifanya kitabu kutumika kama riwaya ya kufundishia...
0 Reactions
0 Replies
903 Views
Bei ni maelewano tu, kuna vitu inahitaji kufanyiwa marekebisho. namba ya simu ni 0755280216. Gari yenyewe.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nauza Toyota hilux, 2.8. Inatumia 2.8 liters 3L diesel engine. Iko katika hali nzuri na iarecords nzuri za service. iko Tegeta Dar es salaam.rangi imebadilishwa toka nyeupe na kuwa grey. Bei ni...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Je, wewe ni mpenzi wa series but; 1. Huna muda wa kuitafuta? AU 2. Kulikua kuna series za kipindi cha nyuma kidogo ulikua unapenda kuiona tena but huna muda au the resources kuitafuta...
1 Reactions
45 Replies
4K Views
Hizi ni selfie sticks Zina ubora wa hali ya juu... Wenye maduka wataelewa nachosema Nataka kuuza zote izi Nipen ofa yenu
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Haya bado zipo selfie stick za kijanja. Unaweka sim unapiga. Hakuna kuconnect bluetooth wala wifi wala shemeji. Ndefu mita moja kukupa angle nzuri zaidi za kujiselfisha. Safe na secure kwa sim...
0 Reactions
2 Replies
912 Views
Nauza zote kwa bei ya jumla. Niliagiza ili kuziuza ila sasa muda unakua mdogo nashindwa kufuatilia nauza kwa bei ya jumla 104000 tuu niziuze zote au nipen ofa zenu
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Ninatafuta frame ya duka kuweka biashara ya tigo pesa na Mpesa eneo lenye mzunguko wa watu wengi msaada wadau....
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Weka bei ya kwa mwezi. Namkataba wamuda wakulipa. Vyumba 2 nasebule bilakusahau fensi. Choo chandani au kushirikia yote sawa. Temeke Boko, Njinjo, Usalama, Wailesi, Taifa, Yombo Buza,Temeke...
0 Reactions
16 Replies
6K Views
Je, unahitaji kusanifiwa nembo, vocha, makava ya vitabu, business cards, business documents na vingine vingi? Tembelea kwenye tovuti yetu ili uchague utakacho kwa buku tano tu: www.bukutano.com
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Nauza laptop ainaya Mcbook air is in good condition OS X Intel® Core™ i5 processor Memory: 4 GB Hard drive: 128 GB SSD Battery life: Up to 9 hours battery life
0 Reactions
23 Replies
2K Views
Ndugu toleo jipya la Epson L850 lina sifa kama za Epson Px660 wino wa nje,scanner,copier, printer, wino wa nje wa kumimina, ubora wa picha wa hali ya juu. Bei ni 1.4m tu. Wahi zipo chache ni...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Computer hp core i5 processor speed 3.3ghz(4cpu),6gb ram,dvd writer,video card,hdd 250....mashine imesimama no scratches....bei 400k maongezi yapo nicheck hapa 0655090000
0 Reactions
22 Replies
7K Views
Bei: 5,500,000 Ipo vizuri (kazini), simu : 0715859923, Vibali vyote vimelipiwa, Mileage : 146,616 km Engine capacity : 657 Number : T487 CTX Njoo na fundi wako.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Ndugu wanajamvi, Natafuta flatbed trailer used au mpya ambayo ipo Dar es salaam. Maelezo ya ziada; Flatbed trailer used au mpya Air suspension BPW axles 40 ft Super single tyre Iwe ya OZGUL au...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom