Wanajf!!
Ninatafuta nyumba ya kupanga kwa ajili ya makazi, kwani nimehamishiwa hapa Arumeru, Arusha. Nyumba iwe ya vyumba vitatu (kimoja kiwe master bedroom) vya kulala, sitting, dining etc...
Ndugu zangu wa www.jamiiforums.com
Nimepata uhamisho, kuelekea Arumeru. Ofisi yangu ipo mitaa ya Leganga
Natafuta nyumba, mwenye access na nyumba ya kupangisha ktk mitaa ya Leganga, mjimwema...
Wadau amani iwe kwenu
Nahitaji kumnunulia shemeji yenu gari hata kama ni ya kumvua mtu, budget yangu ni ndogo ndio maana nahitaji ya mkononi
Nahitaji passo au vits au swift au toyota ist, hivyo...
- Napenda kuwafahamisha my people here kwamba as a part of Celebrations ya my Social Media Company kutimiza miaka 3, tutakuwa na Semina maalum ya "KUZALIWA MASIKINI SIO ADHABU YA KIFO" ambayo...
wakuuu rejeen kwenye kichwa cha habari. nyumba ya vyumba viwili,jiko na sebule. iwe na fence na maji yawepo.itapendeza ikiwa na tiles na sliding windows. budget yangu ni 200000 mpaka 250000...
Bandugu gear box yangu inapoingia namba mbili gari inastuka kwa nguvu hivi then gear zingine zipo ok, tatizo hili linaweza shughulikiwa au nitafute nyingine tu ,whatapp 0743480892
Nahitaji muuzaji wa uhakika wa gari ya aina hiyo, namba kuanzia C, D. Iwe haijagongwa wala kupigwa rangi, Injini iwe ktk hali nzuri, Milleage haizingatiwi sana.
Wadau nahitaji HP Pavilion original ya US. Napenda iwe na sifa zifuatazo
Memory angalau GB 4 na kuendelea
HD angalau 500 GB
Processor iwe COREi 3 ama latest zaidi
Iwe rangi yoyote ila kama...
Anti-theft Padlock Sound Alarm Lock Security With Key
This alarm lock combines locking with alarming function. It is a good tool for you to protect your properties. It has low false alarm...
Wazee habari. Nataka kununua Brevis yenye namba D, isiwe nyeupe na haijawahi pata ajali yoyote. Kama kuna mwenye nayo anifahamishe. Bei isizidi 8,000,000/=
Mahali-Kitonga(karibu na Msongola)
Dar es salaam
Umbali-1.3km kutoka barabara ya chanika....gari inafika
Ukubwa-16mx14m
Vina mikataba safi ya mauziano kutoka serikali ya mtaa...
Habari zenu mabibi na mabwana,mie ni kijana mwenye taaluma ya Ufundi wa umeme wa majumbani,nafanya kazi zifuatazo
-kufanya wiring katika nyumba ndogo mpaka ghorofa.
-Kulekebisha hitilafu au shoti...
Natafuta kuingia katika biashara na Kampuni iliyo safi ya Kukodisha Magari, nataka tufanye wote hii biashara pamoja. Tuwasiliane Tafadhali
+255769711544
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.