Natafuta mashamba/viwanja Bagamoyo vya bei rahisi

Natafuta mashamba/viwanja Bagamoyo vya bei rahisi

tawa driller

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2015
Posts
296
Reaction score
152
Wakuu habari zenu kwa mtu yeyote mwenye taharifa za viwanja au mashamba ya bei rahisi kwa upande wa bagamoyo huko tuwasiliane inbox

Natanguliza shukrani zangu kwenu
 
Wakuu habari zenu kwa mtu yeyote mwenye taharifa za viwanja au mashamba ya bei rahisi kwa upande wa bagamoyo huko tuwasiliane inbox

Natanguliza shukrani zangu kwenu
Mkuu nina kiwanja Mapinga-Bagamoyo, kina ukubwa wa mita za mraba 1,225 au 35X35m, kipo karibu na shule ya msingi Mtambani, kinafaa kwa ujenzi wa makazi, umeme na maji yapo na kimepimwa. kwa maelezo zaidi piga 0756372582
 
Mkuu nina kiwanja Mapinga-Bagamoyo, kina ukubwa wa mita za mraba 1,225 au 35X35m, kipo karibu na shule ya msingi Mtambani, kinafaa kwa ujenzi wa makazi, umeme na maji yapo na kimepimwa. kwa maelezo zaidi piga 0756372582
Dondosha bei mkuu hapa hapa
 
Mkuu nina kiwanja Mapinga-Bagamoyo, kina ukubwa wa mita za mraba 1,225 au 35X35m, kipo karibu na shule ya msingi Mtambani, kinafaa kwa ujenzi wa makazi, umeme na maji yapo na kimepimwa. kwa maelezo zaidi piga 0756372582

WEKA BEI MKUU?
 
Back
Top Bottom