Habari wadau,
Natafuta Vits , iwe clean condition, number iwe kuanzia C.
Ntaongeza dau kama garii ikiwa ina lipa
Nitumie picha via watsapp 0712 507060
Asante...
Huawei bluetooth headsets for making/receiving calls and playing music.
Free your hands with this wireless devices when doing other things eg. Driving, cooking, typing etc.
Brand new in a box...
Nauza original human hair weaves ambazo unaweza kuzipasi, kutong, kuziosha na kuzistyle upendavyo na unahitaji bunda moja tu, pia utaweza letewa ulipo. Zipo za inchi 8 bei elfu 55, za inchi 10 bei...
tigo pesa 240000
mpesa 150000
airtel 95000
zipo active ni kuchukua na kuanza kazi
selcom mashine bei 530000 bado ni mpya na nizile za kisasa kabisa inafanya bills zoteee
serious buyers 0712191251
TRACTOR NA HARVESTER MACHINE INAUNZWA
HARVESTER ipo madhubuti sana na ina hali nzuri,na inafanya kazi vizuri sana.MIL34 TSH
tractor zipo katika hali nzuri MASSEY FERGUSON 178 bei ni milioni 19.5...
Hello dears.
HDNA Elegant-Me,House of fashion is bringing you unique pieces with unique designs...
Statement Necklace for all occasions at an affordable price.
Each piece is unique and classy
Get...
Wakuu kwa wale wanaopenda gari ngumu na zinazodumu muda mrefu basi hii Toyota Hilux ndo inawafaa
Gari ni namba A
Bodi na Engine viko vizuri sana
Ulaji wa mafuta ni wa kawaida,km 10/lita
Aina ya...
Jipatie hard disk 500GB ya laptop internal, pia unaweza kuigeuza external kwa kuweka incloser case
Bei ni 65,000/= Tshs kwa moja, pia ukinunua kuanzia 4 utafanyia 60,000/= Tshs
Mzigo ni mkubwa...
Kuna vyombo vya aina mbalimbali kama vile (mashine ya kuchanganya na kupoza juis, jiko kubwa la kuchomea nyama, jiko kubwa la gesi kwa ajili ya kukaangia chips pamoja na mtungi wake, masufulia...
Pata Viwanja vilivyo pimwa na visivyo pimwa kwa Bei Nafuu zaidi, umbali ni kilometer 18 adi 22 kutoka Ferry upande wa Bahati siyo upande wa dar es salaam zoo. Bei ni kuanzia million 3.5...
Wengi wamegundua wallpapers ndo mpango
Nyumba inakua na muonekano amazing
Zipo za kutosha sasa tunakufikia mteja with
Upana 0.53cmx10m=55,000tshs
Jumla 50,000tshs
Call/whatsap #0713691101 /...
Salaam wanajukwaa....natafta kifaa cha umeme ila sikijui jina lake...nitaeleza kazi yake kisha mnaojua naomba mnijuze jina lake na kama inawezekana...wapi naweza kukipata kwa dsm.
Kifaa hiki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.