Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Salaam wadau..Anahitajika Secretary/office Manager.Ofisi ipo dar es salaam Upanga n inajihusisha na mambo ya sheria.Kazi kubwa ni 1.Kusafisha Ofisi 2.Kupokea wageni 3.Kuiangalia ofisi hasa...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Natafuta macbook kwa dark market ila iwe kwenye hali nzuri, kama unayo tufanye biashara Nawasilisha [emoji115] Limited edition
0 Reactions
0 Replies
840 Views
Bei ni kuanzia 3.5 tunaelewana, used kwa miezi 4, haina tatizo lolote, unapewa na accesories zake. Kwa aliyeko dodoma namletea alipo check me 0712385672
0 Reactions
1 Replies
821 Views
Wajasiriamali habari. Nauza mashine mpya ya kukamulia juisi ya miwa. Mashine hii ni nzuri kwa maana ni ya mkono haitumii umeme hivyo kutokana na tatizo la umeme dar na tanzania kwa ujumla basi kwa...
0 Reactions
7 Replies
10K Views
Habari wana JF, nauza juice dispenser yenye mitungi miwili kila mtungi unauwezo wa lita kumi... Imetumika lakini Iko kwenye hali nzuri ina miezi 9 tangia inunuliwe... Anayehitaji ani PM au ni text...
0 Reactions
9 Replies
10K Views
Njoo nikuwekee ulinzi kwenye simu yako utakao kusaidia kuifanyia tracking kipindi inapotea...! Bila ya aliyeichukua kujua...! Tsh. 5,000 kwa sasa nafanyia simu za android tu...! 0655-659-115...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Vyumba vya biashara vyenye ukubwa tofauti na bei tofauti vinapangishwa Uhindini, jijini Mbeya. Kwa mawasiliano, 0754060350,0716252818
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Salam wadau...Nauza Crown athlete nimeitoa bandarini kama wiki 1 sasa.Silver Colour..Full option..18 inches tyres na rims(mpya).Contacts 0689900000.23m
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Makontena 40 ft yanauzwa Tshs. 10m kila moja, jijini Mbeya. Mazungumzo yapo. Kwa mawasiliano wasiliana nami 0754060350,0716252818
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Godown, Show room inapangishwa maeneo ya Lupa waya 16$ per sqm Kwa mawasiliano, wasiliana nami 0754060350,0716252818,
0 Reactions
0 Replies
917 Views
Photocopy machine aina ya canon ir2018 inauzwa kwa bei nafuu kabisa. Ni nzima na ndio inayotumika hapa ofisin kwa sasa. Nataka ninunue kubwa zaidi. Kwa anaehitaji tuwasiliane: 0753985182
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Karibuni wateja wetu...tupo karibu na geti la mlimani city...tunauza maua ya aina zote...
2 Reactions
5 Replies
4K Views
Habari waungwana wote!Ngoja kwanza nianze kwa kutoapole na mihangaiko ya kuzungusha gurudumu la maendeleo kwa wale wanaojitumakila kukicha kwa kutafuta riziki. Sio siri ya kwamba humu ndani wengi...
1 Reactions
54 Replies
6K Views
Nauza Sony home theater ya 1000watts kwa bei ya kutupa used kwa miezi Sita, kwa 500000 tu unamiliki mziki huu fungua picha uone.. sms 0689315582
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wadau habari za Leo. Natafuta fremu kwa ajiri ya butchery ya nyama Na samaki maeneo kati ya temeke, Kinondoni, mabibo, sinza au kurasini. Number yangu 0769630209.
0 Reactions
0 Replies
903 Views
Habari wana bodi, Naomba kujua ni wapi kwa DSM nitapata piki piki zenye matairi manne au matatu kwa ajili ya mizunguko yangu mjini.... Nataka ikiwa mpya au Used sio mbaya..... (Picha...
1 Reactions
11 Replies
14K Views
Ni ya mtumba bei ni sh 25000 tu piga namba 0712288700 tupo karume
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Naomba kwa anayeuza decoda ya azam tv anitafute kwa no 0653137555,yangu imeungua na dukani hawauzi decoda peke yake.Nipo Kilombero Morogoro.
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Gauni, sketi, blauz, sweta, pensi, suruali, short pens, blauz,tyt, t shert, shati, nk bei ni sh 8000 nakuendelea tunapatikana karume piga namba 0712288700
0 Reactions
23 Replies
7K Views
Pata simu kwa bei poa kabisa Samsung Galaxy S3-350k S4-395k S5-496k S6-1.24m S6 edge - 1.55m S6 edge plus - 1.78m Samsung Galaxy Note 1-292k Note 2-393k Note 3-532k Note 4-750k Note...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Back
Top Bottom