Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Wakuu.. Heshma zitangulie.. Nimefika hapa Jukwa la matangazo nikiomba usaidizi wenu.. NIna tafuta nyumba; Aina ; One-bedroom apartment Location ; Mbezi beach, Mikocheni, Masasani na...
0 Reactions
3 Replies
980 Views
deleted
0 Reactions
0 Replies
572 Views
Pata Ofa ya domain name za .com pamoja na adsense account kwa bei ya TZS 30,000 Utaunganishiwa iyo domain kwenye blog yako 0679732975
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Waungwana Ninauza engine ya gari yangu, Mitsubishi Pajero Mini. Ni nzima, anayetaka kuiona anitwangie PM au SMS, 0786-019019. Bei yake ni chini ya bei ya soko. Ukienda pale Ilala, Mtaa wa Lindi...
0 Reactions
5 Replies
5K Views
Habari wadau nyumba hizo hapo chini zinauzwa, zipo katika eneo la mbagala kilungule jijini Dar es salaam . Nyumba zina vyumba vitatu na choo cha ndani kwa kila chumba na eneo la nje lenye ukubwa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Salaam wadau...Nauza Mark X ya 2005.Pearl colour...Iko poa kabisa na inacomprehensive Insurance inaisha mwakani.Good music na sports rims 17 inches. Bei 12m. Karibuni na Kwa mawasiliano zaidi...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari wakuu. Ninatafuta soko la choroko la uhakika au wanunuzi wa choroko wanaopatikana kanda ya ziwa, mimi niko Bariadi na nalima ekari sita za choroko, naomba pia mwenye ujuzi wa bei. Yaani...
0 Reactions
18 Replies
10K Views
kipo maeneo ya mbulu ni HD kimepimwa na kina mawe trip 5 bei 3m maelewano yapo call or sms 0715140001
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Karibu Mkuranga kwa mahitaji ya kiwanja mashamba tena kwa bei nafuu sana,kwa mahitaji ya kujenga sheli za mafuta (petrol station), shule, nyumba za wageni na hotel, wasiliana nami kwa simu no...
1 Reactions
30 Replies
7K Views
Hellow guys.. inahitajika adsense account iliyo fully activated(yenye barua) inahitajika mapema sana..salio la mteja ni sh 45,000 aliye serious anicheki p.m mara moja... thanks
0 Reactions
1 Replies
622 Views
Hello wadau; Kama kuna mdau anaweza pata binzari kavu kuanzia tani 500, sio iliosagwa, naomba tuwasiliane kwa pm kwanza. Kiingereza inaitwa dry turmeric fingers. Kuna soko nimelipata nje...
0 Reactions
0 Replies
863 Views
Habari wana JF. Natafuta site/eneo la kuuza chips hapa town(dsm), mwenye info na habar pls tuwasiliane(0712 332 781 or 0755 368 445) Tutalipana kibigwa.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau naulizia utapatikanaji wa shamba la kufuga kuku, either katika mikoa Dar, Arusha, Moshi, Pwani(Ruvu) Tanga, Moro hata Singida, sehemu moja wapo. Kama lipo mniambie na gharama za kukodi...
2 Reactions
33 Replies
8K Views
Special OFFER! price: 100,000/= ONLY! Pata Digital Camera ufurahie kupiga picha na mpenzi,ndugu,jamaa na marafiki na sherehe mbalalimbali. pia inauwezo mzuri wa ku-record videos -Brand: SONY...
0 Reactions
0 Replies
667 Views
Tangaza Marketing Solutions: Kwa mahitaji ya hostel ya kisasa kwa wanafunzi. Ipo sinza mapambano Chumba double decker kwa wanafunzi wawili tu tshs 100,000/= kodi ya miezi 4(semister) Chumba cha...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Jipatie suruali za cadet kwa Tsh 30000 rejareja, na Tsh 25000 jumla. Shati kwa Tsh 23000 Ukihtaji ni pm
1 Reactions
26 Replies
10K Views
Nauza laptop EliteBook yenye vigezo vifuatavyo: Type: hp EliteBook Window edition: windows 8 System 1. Rating: 4.4 window xperience index 2. Processor: Intel(R) Core (TM) i5 CPU M 520@ 2.40GHz...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Wadau nahitaji gari aina ya Toyota Vitz (used).. Kama kuna anayeuza naomba anicheck na aweke details kabisa. Ila plz isiwe imetumika sana na isiwe toleo la kizamani. Nataka toleo B.. Niko Dar...
1 Reactions
27 Replies
5K Views
Habari wanakijiji wa jamii Forum,Hiki ni kijiji pendwa na watu wa kijiji hiki ni watu werevu na wanao jielewa tofauti na vijiji vingine vya kijamii. Tawa driller ni jina linalotumika kwenye kijiji...
2 Reactions
17 Replies
2K Views
Jamani nipo Dodoma maeneo ya Saint John nauza viatu vya aina mbili makirikiri pamoja na flat shoes
1 Reactions
9 Replies
5K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…