Wana jf naleta kweni biashara ya kiwanja/shamba lipo kigamboni gezaulole na kinaukubwa wa heka kumi(10), pia kina hati.
Kiwanja/shamba kipo eneo zuri na kipo karibu na majengo mapya pale geza.
Pia...
Shirika la Ndege la Etihad ambalo ni shirika rasmi la ndege la nchi ya Falme za Kiarabu, lenye makao makuu Abudhabi, hivi karibuni lilipanua wigo wa huduma zake jijini Dar es Salaam, ambapo...
Kama Tangazo linavyojieleza hapo juu, wale wenye tatizo tajwa hapo juu anaweza akawasiliana na mimi kupitia nambari za simu +255 789 41 95 57.
Napatikana mkoa wa pwani pia nina ofisi zangu...
Habari wana jamii forum!
Kuna shamba linauzwa liko chamazi mbele ya uwanja wa azam complex
Ukubwa ni miguu 60 kwa 70 (eka moja). Bei maelewani liko sehem nzuri! ( plane surface).
For more...
Waungwana
Ninauza engine ya gari yangu, Mitsubishi Pajero Mini. Ni nzima, anayetaka kuiona anitwangie PM au SMS, 0786-019019. Bei yake ni chini ya bei ya soko. Ukienda pale Ilala, Mtaa wa Lindi...
Habari wadau nyumba hizo hapo chini zinauzwa, zipo katika eneo la mbagala kilungule jijini Dar es salaam .
Nyumba zina vyumba vitatu na choo cha ndani kwa kila chumba na eneo la nje lenye ukubwa...
Salaam wadau...Nauza Mark X ya 2005.Pearl colour...Iko poa kabisa na inacomprehensive Insurance inaisha mwakani.Good music na sports rims 17 inches.
Bei 12m.
Karibuni na
Kwa mawasiliano zaidi...
Habari wakuu.
Ninatafuta soko la choroko la uhakika au wanunuzi wa choroko wanaopatikana kanda ya ziwa, mimi niko Bariadi na nalima ekari sita za choroko, naomba pia mwenye ujuzi wa bei. Yaani...
Karibu Mkuranga kwa mahitaji ya kiwanja mashamba tena kwa bei nafuu sana,kwa mahitaji ya kujenga sheli za mafuta (petrol station), shule, nyumba za wageni na hotel, wasiliana nami kwa simu no...
Hello wadau;
Kama kuna mdau anaweza pata binzari kavu kuanzia tani 500, sio iliosagwa, naomba tuwasiliane kwa pm kwanza. Kiingereza inaitwa dry turmeric fingers. Kuna soko nimelipata nje...
Habari wana JF.
Natafuta site/eneo la kuuza chips hapa town(dsm), mwenye info na habar pls tuwasiliane(0712 332 781 or 0755 368 445)
Tutalipana kibigwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.