Kiwanja kinauzwa

Tutor B

JF-Expert Member
Jun 11, 2011
9,025
6,598
Kiwanja kinauzwa, kipo Igoma - Mwanza city, (Mbugani) nyuma ya St. Mary's school. Kwa yeyote anayehitaji tuwasiliane kwa simu namba 0754-533543.
Wote mnakaribishwa,
 
Kiwanja kinauzwa, kipo Igoma - Mwanza city, (Mbugani) nyuma ya St. Mary's school. Kilipo tayari kuna watu wengi ambao wameishajenga maeneo hayo. Ni umbari wa kama mita 120 kutoka barabara ya Nyerere (Mwanza to Musoma). Kwa yeyote anayehitaji tuwasiliane kwa simu namba 0754-533543.
Wote mnakaribishwa,
 
Kina hati au offer, na kina ukubwa gani? Je eneo kilipo limepimwa? Je ni low au high density area? Na hakina mgogoro wowote? Tupe majibu hayo kwanza kabla ya kupiga cm.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom