Wapi nitapata mayai ya kuku wa kienyeji?

Towashi wa 2

JF-Expert Member
Feb 17, 2016
341
241
Naomba msaada wadau kwa yeyote mwenye mayai ya kuku wa kienyeji pure tuwasiliane au anayefahamu mahali yanapopatikana kwa wingi anifahamishe iwe ni Dar au mikoa ya jirani.
 
MAYAI YA KUKU WA KIENYEJI
Je, ungependa kupata mayai ya kuku wa kienyeji?(sio chotara) Tray moja ni Tsh. 15000
Mayai yanapatikana siku za *JUMAPILI NA JUMATANO* Dar es salaam

Mawasiliano: 0652 962908
 
MAYAI YA KUKU WA KIENYEJI
Je, ungependa kupata mayai ya kuku wa kienyeji?(sio chotara) Tray moja ni Tsh. 15000
Mayai yanapatikana siku za *JUMAPILI NA JUMATANO* Dar es salaam

Mawasiliano: 0652 962908

Mkuu mimi nahitaji tray 10-20 za kutotolesha ila haya yako nahisi kama hayafai coz yatoke iringa vijijini mpaka dsm huo mtikisijo sio mchezo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom