-Viwanja vinauzwa kiluvya makurunge vipo kilometre 2 kutoka morogoro road.
-Huduma za jamii kama umeme,barabara na maji vinapatikana.
-Bei vinaanzia milioni tatu na nusu(3,500,000).
-Ukubwa wa...
- Kabla hujanunua eneo ambalo halijapimwa tutafute wataalamu tukusaidie kutokana na matakwa yako juu ya eneo hilo (tuchukue Coordinates na tukwambie kuwa hilo eneo limetengwa kwa matumizi yapi)...
Salaam wadau...natafuta mtu wa kutengeneza Risiti na Invoices books chache za ofisi.Pia aweze kudesign kidogo ili kuboresha design yangu.Mawasikiani 0689900000
Anayehitaji mayai ya kisasa bei yetu Leo ni 6000. Bei zinapanda na kushuka. Tupo buguruni dar. Contact 0654567777. Minimum order 100treys. 200trey unaletewa
Wadau mdogo wangu anahitaji kukopa, Yeye anafanya kazi lakini mikataba yao ni ya mwaka mwaka na wana-renew kila baada ya mwaka.
Tatizo sasa akienda bank hapati mkopo kiasi anachotaka kulingana na...
ni mtumba kutoka nje ni inch 19 ina DVD room HDMI na VGA port pia ina iPod dock bei ni 200k pia naweza exchange na simu, laptop ,tablet nicheki 0718097972 kwa maelezo zaidi na picha whatsapp hapa...
Eneo la ekari 8 lenye Hati lililopo Mwavi kwenye kona ya barabara kubwa ya Lami ya Bagamoyo Msataa na Mkenge road kabla hujafika kiwangwa 18kms from Bagamoyo mjini.
Linafaa kwa Makazi, Petrol...
Habari zenu waungwana,mie ni fundi wa umeme wa majumbani,nashughulika na maswala ya
-Nafaya wiring ya umeme katika nyumba ndogo mpaka ghorofa
-Narekebisha hitilafu/shoti za kiumeme katika nyumba...
Kiwanja kimepimwa kina hatimiliki, kina nyumba imejengwa imeishia kwenye lenta (1master&2single,sitting room dinning, public toilet) kiwanja kipo mita 600 kutoka barabara ya lami na kipo kwenye...
Kiwanja hiki kipo eneo la wazo hill katika wilaya ya k'ndoni, Dar Es Salaam Kiwanja Kipo Tambalale Pia Tayari Kina Nyumba Ya Kuishi Ya Vyumba 3 Na Sebure, Kipo Karibu Na Barabara Ya Kwenda Madale...