Nauza simu samsung galaxy j7 model sm-j700H, nimeitumia mwezi mmoja na nusu kila kitu chake kipo na nina uza shillingi lak4 na nusu kwa srious buyer ni Pm ni nzima haina shda yoyote android...
Nyumba ina vyumba vitatu vya kulala (1master&2single), sitting room, public toilet, ina frem mbili eneo la kiwanja ni mita 14/16 ipo mtaan kuna nafasi ya mazungumzo
Piga 0656 698232
Wapendwa JF,
Mimi mwanaume, sina familia. Natafuta chumba na sebule maeneo ya Morocco mpaka Mkwajuni Kinondoni, isiwe mbali sana na barabara kuu na isiwe karibu na Bar au club.
Au Kimara kuanzia...
Ubalozi wa Marekani unapenda kukujulisha mnada mwingine mkubwa wa Magari, Mafridge pamoja na Furniture mbalimbali za nyumbani.
Universal Auction Centre kwa idhini tuliyopewa tutauza kwa mnada...
Hello wanajamvi, jaman habar njema Nyumba tatu za hostel zipo SABASABA, zinauzwa bei ni maelewano, zote zina hati, kamili ya kumiliki ardhi, zina uwezo wakubeba wanafunzi 60 kwa muhula.
zipo...
Ndugu mteja, Nyumba hii ina jumla ya vyumba vinne (4), jiko1, choo cha public 1 pamoja na frems mbili 2 za maduka kwa upande wake wa mbele.
Nyumba hii ipo Chamazi Saku Iruru, inauzwa kwa Tsh 60...
Habari wanajamvi,
Kama nilivosema apo juu,waweza kubadili mwonekano wa gari kwa bei nafuu na kwa style yoyote unayotaka, na shape yoyote utakayo, ni garage yetu kwa sasa tumejaribu soko kwa...
About Big One Enterprises
Big One enterprises(logistics )
Tupo kwa ajili ya kukupunguzia gharama,mda,usumbufu katika sekta ya upauaji,tumejikita katika kuokoa gharama na kumpunguzia mteja gharama...
Nauza mafuta ya Nazi asilia.
Rejareja bei ni Sh.8500 tu kwa chupa ya ujazo wa Ml.200.
kwa jumla ni 84,000 chupa 12. Unaletews ulipo kwa wakazi wa Dar.
Napatikana ubungo River side.
karibuni...
Bati aina zote rangi upandayo,kofia,na misumali.kwa bei ya kiwandani.okoa garama,jenga kwa kununua bati kiwandani.
It 4&it5(migongo mikubwa) gauge30 @8000 kwa meter
It 4&it5(migongo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.