Nyumba ya ghorofa inauzwa Kibamba

Nyumba ya ghorofa inauzwa Kibamba

Kitomai

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2009
Posts
1,137
Reaction score
365
IMG_7810.JPG
IMG_7801.JPG
IMG_7802.JPG
IMG_7809.JPG
IMG_7811.JPG
Ina vyumba vinne vya kulala, sebure, jiko .n.k kiwanja chake kina ukubwa wa 850, Kimepimwa na kina hati. Bei 250mil. Kuiona au maelezo ya ziada piga simu au whatsapp 0784225000.
 
Hivi hakuna jina la nyumba ambayo bado haijakamilika kama hii. Maana naona ujenzi bado haujakamilika kwa hiyo haina sifa ya kuitwa nyumba.
 
Kwa bei na jinsi ninavyoiona ni kwamba Mnunuzi lazima aende na Engineer wa manispaa ili kuangalia ubora wa Jengo lenyewe
Maana linanitia mashaka,asije kuwa amezuiliwa kaona hasara amsukumizie mwenzie
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom