Tangaza biashara yako kupitia #website tupo kwaajl yako tupigie,tuongee........au weka oda yako kupitia website ytu
Www.tzwebxperts.com
Au piga simu namba...
Salamu wakuu
Kama kichwa cha habari hapo, natafuta soko la maziwa ya ng'ombe kuna lita 90 za maziwa kila Siku yanaweza patikana.
Kwa mwenye mahitaji au anayejua soko nitashukuru sana...
Habari ya muda huu wakuu!
Kiwanja kinauzwa pugu kigogo fresh milioni nane tu mita 14 kwa 32..
Kwa mawasiliano zaid piga namba zifuatazo 0763 805 405.. Tufanye biashara... Maongezi yanaruhusiwa...
Viwanja vinapatikana chanika na pugu ukubwa unaoanzia squar meter 250 nakuendelea
Pugu kinyamwezi na chanika sangara
PUGU . 4 KM from main road= 3 million
Chanika barabarani = 3.5 million
0652111081
Leather factory for sale in Shinyanga. It's closed and is scheduled to be auctioned on the 10th of April.
Total size: 12 acres
Price: USD 7 Million
Serious buyers should send me an email for...
Kiwanja cha Chanika Buyuni, square mita 800, kina hati, block 17 karibu na nyumba za PSPF za mradi bei 23. Kingine kipo Kigambon Kibada block 13 kina hati miliki square mita 600 bei 25m.
Kwa...
Kiwanja chenye sq mita 1300 za mraba kipo kwenye makazi mita 800 kutoka barbara kuu kipo karibu na kituo cha dogodogo center bunju na karibu na chuo cha ualimu,maji pamoja na umeme vimepita pemben...
Nauza gari aina ya Noah IPO katika hali nzuri .075992531 my whatsaap .nipo Arusha Na bei ni million 9 kamili .nigari yenye nicheck whatsaap nikutumie picha
Nyumba ina vyumba vnne vya kulala ft12×10(1master&3single)sitting room, store, public toilet, kisima cha maj kipo nyumba ipo mtaan na
mita chache kutoka stand ya daladala
0656 698232
Viwanja Kwa ajil ya ujenz wa makaz na shughul nyngne vinapatkana Kwa ukubwa wa 20/20 huduma muhim zinapatkana kwa ukaribu...vimebak vchache asnte kwa ushirikiano
Contact 0656 698232
Sr40 ya mwaka 2002,
Vibali valid until May 2017
Km 95000
Sport ream
New tyres
Colour black
No DDN
Bei ni 12m
Iko na vitu vyote unavyoweza kufikiri vinahitajika kwenye gari, kama alarm, seat cover...
Kiwanja kinauzwa Kijitonyama Kisiwani mbele ya bar inaitwa Heko upande wa kushoto kina hati na kimepimwa kwa mawasiliano zaidi piga namba hii 0716792692(Mi sio dalali ni kiwanja chetu}
Jamani kila nikikomaa kupata laki tatu nzima kwa ajili ya kodi ya chumba sipati, kiasi nimedata katika mishe mishe zangu kwa mwezi sikosi si chini ya laki naomba msamaria mwema yeyote anisaidie...