Nauza Huawei P7 dual SIM cards(Microsim and Nanosim) SIM 1 ina support had 4G,Ram 2gb,internal 16gb,real camera 13MP,front camera 8MP,White color..nimeitumia kwa muda mfupi na bado ipo na box...
Ni kampuni yenye uzoefu katika kutoa huduma zifuatazo:-
1. Usafi wa maofisini, majumbani na maeneo mengineyo.
2. Huduma ya vibarua wa muda mfupi na muda mrefu.
3. Usambazaji wa vifaa vya maofisini...
Model: 43LF540T
Full HD TV (with resolution of 1920 x 1080)
Multi System: NTSC, PAL, SECAMLED
Backlight display technology
LG’s triple XD video processing engine inside
Smart Energy Saving...
Habari wana jf,nimeangalia katika website ya Enhence Auto Japan nimeliona gari aiana ya Mitsubish FTO nataka kulinunua na gharama zake ni shillingi $1850 FOB + CIF+insurance je vipi wadau...
wanaoifahamu vyema hii gari nipeni mawazo na usahuri pia uzoefu wenu hasa kwa matumizi ya hapa Dar na kusafiri nayo mikoani je inafaa na matunzo yake ni vipi ili idumu? Naombeni ushauri na mawazo...
Salaam,
Kwa wale wauzaji wa magari kutoka kwenye show rooms gari inahitajika Harrier New Mdel CBA-ACU 30/35W cc 2360. Isiwe imetengenezwa kabla ya 2004. Gharama ya gari isizidi 21 M tafadhari...
Kutokana na kuongezeka umuhimu kwa Jiji LA Tanga nimeamua kuwekeza huko kwa kufanya ujenzi wa nnyumba ila nimetaadharishwa kuwa migogoro ya viwanja ni mingi sana kutona na watumishi wa idara ya...
Nauza kiwanja mtwara mjini kiwanja kikubwa kipo karibu na bahari ,ni sehemu nzuri ya kibiashara kwa mtu ambaye anahitaji awasiliane nami kupitia 0658578715,bei mil 180.
Nisingependa kuwa muongeaji sana wa Tangazo hili, bali ningependa nikupe nafasi ya kuweza kupata kile kilicho bora na imara zaidi(Roho ya paka) na kuepukana na ghasia za mwendokasi na madalala...