Huntsman
JF-Expert Member
- Oct 11, 2012
- 648
- 621
wanaoifahamu vyema hii gari nipeni mawazo na usahuri pia uzoefu wenu hasa kwa matumizi ya hapa Dar na kusafiri nayo mikoani je inafaa na matunzo yake ni vipi ili idumu? Naombeni ushauri na mawazo yenu kwani niko mbioni kuinunua Transmission ni Manual cc 1800 5Doors.
karibuni
karibuni